nandembako
JF-Expert Member
- Jun 16, 2013
- 655
- 528
Jidanganye,hao kenge huwa hawasomeshwi,unaharibu mizania,mizani ilikuwa imebalansi were unaongeza uzito upande wake,hao viumbe waliongea na shetani wa kwanza kabisa kati ya viumbe wote mungu alioumba,utakuja kulia,mwanamke mwanamke tu,awe binti,mkeo,kakuzalia,mzee. Tupa kule
Habari wadau,naomab niwashirikishe katika hili....nina mke wangu ambae kwa sasa tuna kama miaka takribani sita,wakati tunaingia mahusiano alikuwa yupo form six,alipomaliza tu A-level nikampa mimba bahati nzuri alipata nafasi akachaguliwa kwenda st John dodoma na mkopo juu asilimia kama themanini hivi,kutokana na hali halisi aliyokuwa ya ujauzito kwake likawa tatizo...tukaamua kuahirisha tena bila wazazi wake kujua,baada ya miaka miwili na miez nane akiwa amejifungua na mtoto angalau mkubwa mimi nikaamua aende chuo atimize ndoto zake...mpaka sasa anasoma chuo na ameingia mwaka wa pili,tatizo nililonalo ni kuwa kuna baadhi ya watu wamekuwa wakinibeza kuwa napoteza muda vyuoni kuna mambo mengi watakuchukulia na mwanamke atakuja kunigeuka nikabaki nisijue la kufanya....mwaka 2017 ndio anamaliza chuo,JE WEWE MDAU MSTAARABU HEBU NICHANGIE HEKIMA ZAKO!
Habari wadau,naomab niwashirikishe katika hili....nina mke wangu ambae kwa sasa tuna kama miaka takribani sita,wakati tunaingia mahusiano alikuwa yupo form six,alipomaliza tu A-level nikampa mimba bahati nzuri alipata nafasi akachaguliwa kwenda st John dodoma na mkopo juu asilimia kama themanini hivi,kutokana na hali halisi aliyokuwa ya ujauzito kwake likawa tatizo...tukaamua kuahirisha tena bila wazazi wake kujua,baada ya miaka miwili na miez nane akiwa amejifungua na mtoto angalau mkubwa mimi nikaamua aende chuo atimize ndoto zake...mpaka sasa anasoma chuo na ameingia mwaka wa pili,tatizo nililonalo ni kuwa kuna baadhi ya watu wamekuwa wakinibeza kuwa napoteza muda vyuoni kuna mambo mengi watakuchukulia na mwanamke atakuja kunigeuka nikabaki nisijue la kufanya....mwaka 2017 ndio anamaliza chuo,JE WEWE MDAU MSTAARABU HEBU NICHANGIE HEKIMA ZAKO!
Huko chuo itabd uwe unaenda mara kwa mara ili asikupoteze akilini maana huko atakutana na vijana wa rika lake na lolote linaweza kutokea, unaweza kugongewa tu kwa muda akiwa anasoma ama ndo akafol hapo ndo itakuwa shida. Ila uwe na hisia chanya zaidi ya hzo hasi.. mpeleke ila mtembelee mara kwa mara.