commonmwananchi
JF-Expert Member
- Mar 12, 2011
- 3,377
- 1,952
Ni kama vile, kadri machungu ya kukaa benchi kwenye siasa za nchi hii. Hususan nje ya bunge! Kunawatesa sana makada na wafuasi wa Chadema. Na Hasa wale ambao walikuwa hawana ajira au shughuli zingine za kuendeshea Maisha yao.
Sasa kinachobakia ni kuamka asubuhi kuweka bando na kuanza kuandika upuuzi wenu mitandaoni! Pamoja na wale watumbuliwa wote. Mnagombana na "kaburi".
Mkijaribu kumfanya Magufuri aonekane alikuwa mbaya.kisa tu mmewekwa benchi na wananchi baada ya sera zake kuwaingia wananchi na kuwafanya wawapuuze!
Jaribuni kutafuta strategy zingine ili kukijenga chama chenu,badala ya kuendelea kuwaudhi wananchi kwa kumtukana Magufuli.
Jifunzeni kwenye matukio ya hivi karibuni!
Mwenyekiti wenu Mbowe,aliingia na hiyo gia Majukwaani,kilichotokea ni kupuuzwa.
Makamu Mwenyekiti wenu Tundu Lissu, nae alikuja na ameendelea na mtindo huo huo,matokeo yake imekuwa ni kuporomoka kwa kasi na kupuuzwa na wananchi.
Matokeo yake,amejikuta analazimika kurudi Ubelgiji kujipanga upya!
Niwaambie kitu Chadema na Pro-asali team mnaolipwa ujira humu kumbomoa Magufuli.
Magufuli amekufa ndio,lakini kuna wafuasi wake nchi nzima!
Magufuli amekufa ndio,lakini miradi yake inabaki kama minara ya kumbukumbu ya Magufuli nchini kote!
Ukianzia na Ikulu mpya ya Dodoma,ambapo kimsingi pia ndipo mlipokuwa mkienda kukutana na Rais Samia,hadi mlipopata muafaka wenu.
Viongozi wenu wote wa kitaifa na kimajimbo,wanasafiri na kutumia miradi iliyobakia kama nembo ya Magufuli.
Mfano ni Daraja la Tanzanite hapo Dsm.
Magufuli terminal Mbezi.
Flyover zote kubwa hapo Dsm.
Njia nne za kimara kutoka nje ya jiji.
Mradi wa SGR Dar - Tabora.
Mradi wa SGR Tabora- Mwanza.
Mradi wa SGR Tabora - Kigoma.
Mradi wa SGR Mwanza-Isaka.
Ujenzi meli kubwa MV hapa kazi ziwa victoria.
Ununuzi wa Ndege za ATCL.
Ununuzi wa helikopta za kijeshi.
Ununuzi wa ndege za jeshi.
Ujenzi wa masoko mapya ya kisasa Mwanza.
Ujenzi wa mradi mkubwa wa bwawa la kuzalisha Umeme Rufiji. JNHP au Stieglers gorge.
Ujenzi wa stendi kubwa za mabasi Dodoma,Morogoro na Mwanza.
Kufukuza vyeti fake toka utumishi wa Umma!
Kuiheshimisha tena CCM iliyokuwa imechokwa na wananchi kipindi hicho.
...kama inavyoanza tena kwa kasi sasa hivi.
Kuanzisha mfumo wa malipo ya serikali,kwa elektronic nchi nzima G-epay!
Hiyo yote ni Minara ya kumbukumbu za Magufuli!
Mkitaka kuibomoa Legacy ya Magufuli,muanze kwanza kuibomoa hiyo na kuifuta toka kwenye uso wa Dunia.
Pia muelewe wafuasi wa Magufuli wapo kila kona ya nchi,wao hawana makali kwa sasa!
Wanashuhudia na kusubiri muda wao uwadie kuwaamgusha kwa pua,kila aliyemtukana mpendwa wao.
2025 sio mbali.
Hao watu wote waliokuwa wakilia mitaani na mabarabarani, msidhani nao wamekufa!
Wako waliokufa ila wako wengi bado hai.
Na bado wanamuheshimu Magufuli mpaka sasa.
Sasa kinachobakia ni kuamka asubuhi kuweka bando na kuanza kuandika upuuzi wenu mitandaoni! Pamoja na wale watumbuliwa wote. Mnagombana na "kaburi".
Mkijaribu kumfanya Magufuri aonekane alikuwa mbaya.kisa tu mmewekwa benchi na wananchi baada ya sera zake kuwaingia wananchi na kuwafanya wawapuuze!
Jaribuni kutafuta strategy zingine ili kukijenga chama chenu,badala ya kuendelea kuwaudhi wananchi kwa kumtukana Magufuli.
Jifunzeni kwenye matukio ya hivi karibuni!
Mwenyekiti wenu Mbowe,aliingia na hiyo gia Majukwaani,kilichotokea ni kupuuzwa.
Makamu Mwenyekiti wenu Tundu Lissu, nae alikuja na ameendelea na mtindo huo huo,matokeo yake imekuwa ni kuporomoka kwa kasi na kupuuzwa na wananchi.
Matokeo yake,amejikuta analazimika kurudi Ubelgiji kujipanga upya!
Niwaambie kitu Chadema na Pro-asali team mnaolipwa ujira humu kumbomoa Magufuli.
Magufuli amekufa ndio,lakini kuna wafuasi wake nchi nzima!
Magufuli amekufa ndio,lakini miradi yake inabaki kama minara ya kumbukumbu ya Magufuli nchini kote!
Ukianzia na Ikulu mpya ya Dodoma,ambapo kimsingi pia ndipo mlipokuwa mkienda kukutana na Rais Samia,hadi mlipopata muafaka wenu.
Viongozi wenu wote wa kitaifa na kimajimbo,wanasafiri na kutumia miradi iliyobakia kama nembo ya Magufuli.
Mfano ni Daraja la Tanzanite hapo Dsm.
Magufuli terminal Mbezi.
Flyover zote kubwa hapo Dsm.
Njia nne za kimara kutoka nje ya jiji.
Mradi wa SGR Dar - Tabora.
Mradi wa SGR Tabora- Mwanza.
Mradi wa SGR Tabora - Kigoma.
Mradi wa SGR Mwanza-Isaka.
Ujenzi meli kubwa MV hapa kazi ziwa victoria.
Ununuzi wa Ndege za ATCL.
Ununuzi wa helikopta za kijeshi.
Ununuzi wa ndege za jeshi.
Ujenzi wa masoko mapya ya kisasa Mwanza.
Ujenzi wa mradi mkubwa wa bwawa la kuzalisha Umeme Rufiji. JNHP au Stieglers gorge.
Ujenzi wa stendi kubwa za mabasi Dodoma,Morogoro na Mwanza.
Kufukuza vyeti fake toka utumishi wa Umma!
Kuiheshimisha tena CCM iliyokuwa imechokwa na wananchi kipindi hicho.
...kama inavyoanza tena kwa kasi sasa hivi.
Kuanzisha mfumo wa malipo ya serikali,kwa elektronic nchi nzima G-epay!
Hiyo yote ni Minara ya kumbukumbu za Magufuli!
Mkitaka kuibomoa Legacy ya Magufuli,muanze kwanza kuibomoa hiyo na kuifuta toka kwenye uso wa Dunia.
Pia muelewe wafuasi wa Magufuli wapo kila kona ya nchi,wao hawana makali kwa sasa!
Wanashuhudia na kusubiri muda wao uwadie kuwaamgusha kwa pua,kila aliyemtukana mpendwa wao.
2025 sio mbali.
Hao watu wote waliokuwa wakilia mitaani na mabarabarani, msidhani nao wamekufa!
Wako waliokufa ila wako wengi bado hai.
Na bado wanamuheshimu Magufuli mpaka sasa.