miss chagga
JF-Expert Member
- Jun 7, 2013
- 57,821
- 48,969
ha hahaha
Hiyo hesabu ni ya mtu aliyekomaa ambaye yuko madarasa ya juu. Chekechea kila kitu kama sio picha ni kwa uhalisia, sio kwa kufikiria.
Hapo itabidi uvungeHizo kusaidiwa home work na wazazi ni tatizo sana, najiuliza homework akikusaidia mshua alafu ukakosa zote sijui utamwangalia kwa jicho gani! Au unavunga kumlindia heshima.