Kumpiga mizinga mpenzi wako ni ushamba wa mapenzi

Kumpiga mizinga mpenzi wako ni ushamba wa mapenzi

Ngoja nianze kuangalia comments za wadada,maana hili ni jiwe la gizani,,ila mtoa post agiza chochote mm nalipa
 
Ni wanawake wachache sana wenye akili.
Wakwanza ni wewe.
Hongera sana
Walahi nawambia,sisi wanawake tuna kajitabia fulani tulikoaminishwa kuwa kupendwa lazima upewe hela

Yaani ili uonekane unapendwa akupe hela ya matumizi,huo ni ushamba

Utawakuta wanawake salon,oooh nataka kumuacha peter kwa sababu hanipi hela ya matumizi,miezi 3 hanipi hata senti,yeye ni kuniita tu anataka papuchi

Mwingine anasema,Mudy ananipenda balaa,nikiomba tu hela hana chenga,ananipa,

Yaani sisi tumejijengea mawazo kuwa mwanamke ndo anayetakiwa kutoa,kutoa,kutoa,kutoa tu,tena na tena,jamani haya sio mapenzi ni kuumizana

Pia tumejijengea mawazo kuwa unapokuwa na mwanaume basi shida zimeisha,basi unakaa kusoviwa matatizo yako,dah!

Unakuta mwanamke ana kazi yake nzuri tu,ana kipato kizuri tu,lakini anapata mwanaume,anaanza kumuomba hela,anaomba hela,ili mwanamke aonekane anapendwa atakapopewa hiyo hela,huu ni ushamba wa mapenzi,asipopewa atachukia,atakunja sura kama ameonja ndimu,ila ana mshahara wake

Na nyie wanaume, kinachosababisha wanawake wanawaomba hela,au kuwapiga mizinga,ni tabia zenu za kuwa na wanawake wengi

Tunahisi una mwanamke ambaye unamgaharamikia unatuacha sisi tulio na real love kwako,coz kwa michepuko hamjambo

Unamuwezesha hela ya kuzungukia mtaani,labda elfu 50,anampelekea Mwajuma,au anawaza kumhonga mpenzi mpya,wanaume akili zenu muda mwingine hamnazo
 
Tatizo kuna wanaume wengine niviherehere sana kwenye kuonga nandio nahisi wanatuponza sisi wenye misimamo yetu
 
Walahi nawambia,sisi wanawake tuna kajitabia fulani tulikoaminishwa kuwa kupendwa lazima upewe hela

Yaani ili uonekane unapendwa akupe hela ya matumizi,huo ni ushamba

Utawakuta wanawake salon,oooh nataka kumuacha peter kwa sababu hanipi hela ya matumizi,miezi 3 hanipi hata senti,yeye ni kuniita tu anataka papuchi

Mwingine anasema,Mudy ananipenda balaa,nikiomba tu hela hana chenga,ananipa,

Yaani sisi tumejijengea mawazo kuwa mwanamke ndo anayetakiwa kutoa,kutoa,kutoa,kutoa tu,tena na tena,jamani haya sio mapenzi ni kuumizana

Pia tumejijengea mawazo kuwa unapokuwa na mwanaume basi shida zimeisha,basi unakaa kusoviwa matatizo yako,dah!

Unakuta mwanamke ana kazi yake nzuri tu,ana kipato kizuri tu,lakini anapata mwanaume,anaanza kumuomba hela,anaomba hela,ili mwanamke aonekane anapendwa atakapopewa hiyo hela,huu ni ushamba wa mapenzi,asipopewa atachukia,atakunja sura kama ameonja ndimu,ila ana mshahara wake

Na nyie wanaume, kinachosababisha wanawake wanawaomba hela,au kuwapiga mizinga,ni tabia zenu za kuwa na wanawake wengi

Tunahisi una mwanamke ambaye unamgaharamikia unatuacha sisi tulio na real love kwako,coz kwa michepuko hamjambo

Unamuwezesha hela ya kuzungukia mtaani,labda elfu 50,anampelekea Mwajuma,au anawaza kumhonga mpenzi mpya,wanaume akili zenu muda mwingine hamnazo
Mizinga ni nini?
 
Wanawake wenye akili kama zako wapo japo wachache ila wapo. Mwanamke akiwa omba omba hata stimu za kuwa nae zinapungua..Mapenzi ni zaidi ya pesa.
 
Mimi ni mshamba na am happy kuwa mshamba. Hivyo mwanaume wangu ni lazima anihudumie, thats it.
 
Asiyefanya kazi asile
IMG-20190609-WA0065.jpeg
 
Hahahhahah

Utasifiwa na wanaume wa jf

Kama nimekwama namuomba kwakweli
 
Tumetoka LAKI SI PESA, tukaja IJUE NGUVU YA BUKU na sasa KUHONGWA USHAMBA. Hahahahahaaa hii awamu maridhawa kabisa, endelea kukaza mzee baba, mpaka tufikie zile enzi za kupendwa kwa kuwa umevaa kopelo na miwani.
 
Back
Top Bottom