Kumpelekea Mulongo RAS Polisi maana yake nini?

Kumpelekea Mulongo RAS Polisi maana yake nini?

Wakuu habari,

Nimejaribu kujiuliza sababu za mh. Rais JPM kumpelekea Mulongo RAS aliyetoka kwenye jeshi la polisi tena aliyekuwa Ofisa wa ngazi za juu kwenye jeshi hilo, lakini sijapata jibu, kwa hiyo nimeona niwekeke hapa ili tujadili kwa kuwa najua kuwa humu kuna watu wenye akili sana. Asanteni
Fanya kazi kijana acha UDAKU.
 
CCM ni ile ile haitabadilika hata Malaika akitua hapo. Magufuli kama Kikwete tu yaani kuna shida ya ajira wasomi wenye madigrii (degree) wanauza Mpesa na vocha za simu. Watu wamefanya Kazi miaka 30+ amefikia muda wa kustaafu (miaka 60) unampa kazi nyingine yenye cheo Katibu wa mkoa (RAS) hi si sawa.
Hao vijana majukumu wanayaweza?
Akili na uzoefu havistaafu, ni vizuri vijana kupewa nafasi lakini wasipewa kwasababu ni vijana bali kwa kuwa na sifa stahiki.
 
Hiyo combination ya Mulugo na Chagonja sijui itakuwaje. Kama Faisal alimpiga chupa ya maji huyu RC sasa tutegemee RC kutandikwa mikanda na mitama na Chagonja kama ataendeleza tabia zake za dharau.
kwani chagonja ameenda mwanza!!! sio katavi kweli!!!
 
Back
Top Bottom