Kumpa pole, au kumpongeza aliyetumbuliwa lipi bora?

Maguge Maguge

JF-Expert Member
Sep 1, 2016
2,734
1,778
Wana bodi, heshima kwenu!

Mimi ni mjasiliatumbo, nafanya kazi za mikono baada ya biashara kunitupa mkono;
Ila nina jamaa zangu na rafiki zangu, wafanyakazi wa serikali, wengine miongoni mwao wametolewa ndagu na JPM kwa kuwatumbua.

Swali langu moja,

baada ya kujua kwamba jamaa au rafiki yangu ametumbuliwa, nikimpigia simu au kukutana nae, nimpongeze kwa hatua alizopitia kula fedha ya umma, au nimpe pole?
 
Mtukane, mwambie ni fala tu, kama anataka maisha ya kuwa mtumishi asome! Tena hao Anko Magu anawatafta!
 
Kwani lazima umpe pole au umpongeze? Wewe jifanye tu kama hujui kua katumbuliwa.
 
Mimi natoa salamu pekee yake,naanzisha stori za RONALDO vs MESSI basi
 
Wana bodi, heshima kwenu!

Mimi ni mjasiliatumbo, nafanya kazi za mikono baada ya biashara kunitupa mkono;
Ila nina jamaa zangu na rafiki zangu, wafanyakazi wa serikali, wengine miongoni mwao wametolewa ndagu na JPM kwa kuwatumbua.

Swali langu moja,

baada ya kujua kwamba jamaa au rafiki yangu ametumbuliwa, nikimpigia simu au kukutana nae, nimpongeze kwa hatua alizopitia kula fedha ya umma, au nimpe pole?
Mpongeze kwa sababu amenusurika kwenda JELA miaka 15 na kazi ngumu.
 
Wana bodi, heshima kwenu!

Mimi ni mjasiliatumbo, nafanya kazi za mikono baada ya biashara kunitupa mkono;
Ila nina jamaa zangu na rafiki zangu, wafanyakazi wa serikali, wengine miongoni mwao wametolewa ndagu na JPM kwa kuwatumbua.

Swali langu moja,

baada ya kujua kwamba jamaa au rafiki yangu ametumbuliwa, nikimpigia simu au kukutana nae, nimpongeze kwa hatua alizopitia kula fedha ya umma, au nimpe pole?
Kakwambia anataka pole yako?? Ingekuwa ni baba yako ungempa??
 
Pecial mbona umejibu kwa ukali ama nawe upo kwenye orodha?Sasa hivi ni mwendo wa list tu.
 
Kama ana nyumba, gari, biznesi na watoto mpe pole kama hana achana nae asije kukuzibuwa
 
Wana bodi, heshima kwenu!

Mimi ni mjasiliatumbo, nafanya kazi za mikono baada ya biashara kunitupa mkono;
Ila nina jamaa zangu na rafiki zangu, wafanyakazi wa serikali, wengine miongoni mwao wametolewa ndagu na JPM kwa kuwatumbua.

Swali langu moja,

baada ya kujua kwamba jamaa au rafiki yangu ametumbuliwa, nikimpigia simu au kukutana nae, nimpongeze kwa hatua alizopitia kula fedha ya umma, au nimpe pole?
UNATAKIWA UKIMUONA UMZIBUE VIBAO KWA KUWA UWEPO WAKE SERIKALINI ATAKUWA AMEHARIBU MAMBO MENGI SANA IKIWEMO KUUWA KWA KUTOJUA ANACHOFANYA.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom