Kumnunulia simu mwanamke


Sio tabia nzuri kushikashika simu ya mapenzi/mchumbaake/mke wako....usiitafute shari acha shari ije yenyewe
Akishakujua una hizo umekwisha....! Mwanamke ni kiumbe mwerevu kuliko nyoka...mpende mheshimu mwamini! Mengine acha yaje kama ajali
Ingia mfukoni kamnunulie cm nzuri itakayoendana naye
Kama ishu ni gharama tuone wadau.....!!!!
 
wenzio kila mwezi tunawanunulia simu sasa wewe mara moja tuu umekuja kulialia hapa kwani wewe umejipangaje aiseee?
 
Kama demu usijaribu tena . U know what bro uwezi juwa maybe hiko kimeo ulicho mpa mwanzo na yy kamuhonga boya mmoja hivi. Wazungu wana sema no trust women jihulize kwann akutaka simu yake uhishike .think again
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…