Mla mbuzi hulipa ng'ombe... Unataka kulinganisha gharama ya mapenzi yenu na gharama ya simu.. I lost ma phone two weeks ago,, my woman akanipa yake then yeye akabaki na nokia ya tochi.. Tarehe 25 mwezi huu ni birthday ake nampa zawadi ya simu.. Nzuri kuliko aliyonipa yeye..ââ au na mm ningeanzisha uzi wangu... Acha hizooo mnunulie manzi ako simu,, tena mfanyie saplaaaizi...
Mnunulie tu kwa kuwa hiyo iliyoibwa hukumnunulia wewe. Na ukumbuke si kila kilicho chake unachoshika ulimnunulia wewe, sawa? Ila ushauri wangu ni kwamba akuruhusu tu kuishika kwa ajili ya kumuwekea katika chaji, au kumpelekea alipo kama labda inaita au kuna sms imeingia na wewe uko karibu nayo kuliko yeye.
Kinyume cha hapo NEVER TOUCH YOUR FIANCE'S MOBILE PHONE, NEVER!!!!!!
Utakuta mtu mzima hapa kajiandikisha kupiga kura, na kura yake itachangia kufanya maamuzi. Hapa ndipo naishiwa nguvu kabisa kila nikifikiria hatma ya nchi yangu. Mungu atusaidie sana Tanzania.
Tena mwanaume anayetegemewa kuwa kichwa cha familia, maana nchi huanzia hapo kwenye familia, pakivurunda hapo kila kitu vururu vururu, daaaaah!! Am so wandaz
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.