FurahayaMoyo
JF-Expert Member
- Dec 4, 2016
- 582
- 750
- Thread starter
-
- #21
Kuna zaidi ya shetani ambaye alikuwa kerubi, uharibifu ulianza pale Moyo wa mwanzo alipowaza ikatokea ishara ya kwanza mbinguni ufunuo 12:1 (mwanamke) iyo ndo iliteka uumbaji wengine humwita malkia wa mbinguni yeremia 44:17-18 na kutokana na hila za kubadilisha Kila file lililokutwa ndani ya Moyo wa mwanzo akachepuka nyoka ambaye ndo wengi wanamjua ambaye kilele chake nae ni hila.Samahan mkuu kama nitakuwa na maswali Mengi ila najarbu ku relate na vile ambvy nilifundishwa.
Zaman tulifundishwa kwamba Shetan ndio chanzo cha uharubifu.
Je huyo roho wa uvamizi ni ndio shetani?? Maan nmejarbu kusoma cjaona Role ya shetani ni ipi au yey alikuja Baadaye baada ya Moyo wa mwanzo kuingiliwa na Roho ya uvamiz na kuharbu kila file alilolikuta kwahy mpak Adam anakuja kuumbwa tayar kulkuwa na mistake huko nyuma ndio maan shetan akapat chance ya Kuwashawish.
Mkuu bado naendelea kupata somo na kutafakari lakn pia naomba nisikuchoshe kwa maswali yangu.Kuna zaidi ya shetani ambaye alikuwa kerubi, uharibifu ulianza pale Moyo wa mwanzo alipowaza ikatokea ishara ya kwanza mbinguni ufunuo 12:1 (mwanamke) iyo ndo iliteka uumbaji wengine humwita malkia wa mbinguni yeremia 44:17-18 na kutokana na hila za kubadilisha Kila file lililokutwa ndani ya Moyo wa mwanzo akachepuka nyoka ambaye ndo wengi wanamjua ambaye kilele chake nae ni hila.
Aliyemwambia Adam atakufa ni Mungu majira Saba zilizopita sio CHANZO HALISI, ambaye alikuwa amegawanyika katika nafsi tisa (hapa napo unahitajika Uzi).Mkuu bado naendelea kupata somo na kutafakari lakn pia naomba nisikuchoshe kwa maswali yangu.
Nilikuwa naomba ufafanuzi wa aliyemwambia Adamu kwamba atakufa yeye ni mavumbi na mavumbini atarudi.
Je ni CHANZÒ HALISI au MOYO WA MWANZO au nani naomba ufafanuz kdgo maan kwa maelezo ya hapo juu yaonesh kwamb Chanzo Halisi anatupenda na hawez kutak tufe kwasbb yeye ni zaid ya upendo
Nipo kiti cha mbele nasubirAliyemwambia Adam atakufa ni Mungu majira Saba zilizopita sio CHANZO HALISI, ambaye alikuwa amegawanyika katika nafsi tisa (hapa napo unahitajika Uzi).
Fatilia kuanzia mwanzo taratibu utaelewa,Kuna majibu ya maswali unayojiuliza.Unajitaiidi kuelezea ila nikama untranslate kutoka lugha nyingine kuja kiswahili ivo hauelewiki Kabiasa
Mtiriliko wa mada ulitakiwa Utufaamishe CHANZO HALISI ni Nani ?
Kwanini Akufanya yeye Umbaji Adi Ajigawe Kuwa MOYO WA MWAZO? .
Naguvu Ilivyo kuja kuteka Umbaji ilikuwa wapi apo Awali? Je Nguvu hi Inautashi Mkibwa Kuliko CHANZO HALISI
Maandiko yanasema,Hello JF,
Katika uumbaji wa vitu vyote vinavyoonekana Kuna hatua za uumbaji na majira ambayo hayo yote yalitokea.
Ufahamu wa aliyeumba yaani CHANZO HALISI (REAL SOURCE) alikuwa peke yake (MAHALI PAKE)kabla ya roho na nafsi yeyote, ndipo akasikia uumbaji ukimsifu ndani ya Moyo wake, akatamani uwe halisi.Ndipo akaengua Moyo wake kushoto (Moyo wa mwanzo)na kuweka heshima na utajiri (vyote vya kuumbwa) mithali 3:16 Ili aviumbe viwe halisi ila yeye hakuingia ndani ya huo Moyo.
Moyo wa mwanzo akaanza uumbaji katika mwanzo 1:1. Hatua ya kwanza Alipotaka litokee kanisa (sio dini) akawaza akatokea Mwanamke (sio hawa mnaowajua) ishara ya kwanza mbinguni ufunuo 12:1. Huyu mwanamke ndie aliyeteka uumbaji ukafanyika chini yake ila sio kwa kusudi la CHANZO HALISI, freemason na wayahudi ndo wanamwita Sophia ila ni roho chipukizi iliyotokea baada ya Moyo wa mwanzo kushindwa kutekeleza alichokuwa amepewa.
Hatua ya pili Alipotaka zitokee sifa akatokea nyoka(hila) Ufunuo 12:3
Hatua ya tatu Alipotaka kuwepo amani ya Kila kitu ikatokea vita. Ufunuo 12:7
Hivyo mafaili yote ya viumbe vyote yaliwekwa katika huo Moyo wa mwanzo rejea Yeremia 1:5 na warumi 8:29 Ili viumbwe kwa uhalisia (muonekano) ila baada ya kutekwa na mwanamke ndio uumbaji ukawa unafanyika kwa amri na matakwa ya huyo ufunuo 12:1 (mwanamke). Ndo maana mchawi au mganga alikuwa anaweza kuona nyota yako na vitu ulivyokusudiwa kuwa navyo kabla hujazaliwa nakuviiba sababu wao ndiyo walikumiliki na kuwa katika yao. Isaya 26:13-18
Ilikuwa ni ngumu kuyajua haya pasipo kupata ufahamu ulio juu ya thiolojia ambapo ni kumjua Aliyeumba.
Ili utoke kwa huyo mmiliki Mhubiri 7:26.
Mungu wa freemason ambaye Dunia na ulimwengua unamuabudu kwa kujua au kutokujua unamkuta katika mistari ifuatayo 2korintho 4:4, yeremia 44:17-18, ufunuo 12:1, matendo 19:27 aliyepotosha fikra za wengi wasimjue aliyeumba.
Majira ya kanisa (sio dini) mwezi unasiku 28 ivyo mwaka unasiku 336 ila Dunia iliongeza siku ya 29,30 na 31, mwaka ukawa na siku 365 kukawa na ongezeko la mwezi mmoja.Ndo kalenda ya Gregory inayotumika Hadi Leo.Ndo maana katika mashirika na taasisi kubwa watu hulipwa mshahara wa mwezi wa 13 inapofika December.
Kanisa (sio dini) siku zake ziko kama ifuatavyo:-
Jumatano- Nuru Moja Halisi
Alhamisi- Akili Moja Halisi
Ijumaa- Thamani Moja Halisi
J/mosi- Majira Moja Halisi
J/pili- Moyo mmoja Halisi
J/tatu- Hatma Moja Halisi
J/nne- Kustareheshwa na CHANZO HALISI
Iliuyajue haya lazma upate ufahamu ambao upo juu ya thiolojia, elimu ya Dunia na ulimwengu.Haya yote ninayokwambia ni kwa sababu tupo katika ufalme mwengine kabisa ambao ni waaliyeumba.Ufalme hauji kwa kuchunguzwa 1petro 1:10, Kila aliyechunguza hakuwa na majibu sahihi kuanzia nabii paka mtume ndio maana na kumjua Mungu wa Kweli ni ufahamu mithali 9:10.
Hello JF,
Katika uumbaji wa vitu vyote vinavyoonekana Kuna hatua za uumbaji na majira ambayo hayo yote yalitokea.
Ufahamu wa aliyeumba yaani CHANZO HALISI (REAL SOURCE) alikuwa peke yake (MAHALI PAKE)kabla ya roho na nafsi yeyote, ndipo akasikia uumbaji ukimsifu ndani ya Moyo wake, akatamani uwe halisi.Ndipo akaengua Moyo wake kushoto (Moyo wa mwanzo)na kuweka heshima na utajiri (vyote vya kuumbwa) mithali 3:16 Ili aviumbe viwe halisi ila yeye hakuingia ndani ya huo Moyo.
Moyo wa mwanzo akaanza uumbaji katika mwanzo 1:1. Hatua ya kwanza Alipotaka litokee kanisa (sio dini) akawaza akatokea Mwanamke (sio hawa mnaowajua) ishara ya kwanza mbinguni ufunuo 12:1. Huyu mwanamke ndie aliyeteka uumbaji ukafanyika chini yake ila sio kwa kusudi la CHANZO HALISI, freemason na wayahudi ndo wanamwita Sophia ila ni roho chipukizi iliyotokea baada ya Moyo wa mwanzo kushindwa kutekeleza alichokuwa amepewa.
Hatua ya pili Alipotaka zitokee sifa akatokea nyoka(hila) Ufunuo 12:3
Hatua ya tatu Alipotaka kuwepo amani ya Kila kitu ikatokea vita. Ufunuo 12:7
Hivyo mafaili yote ya viumbe vyote yaliwekwa katika huo Moyo wa mwanzo rejea Yeremia 1:5 na warumi 8:29 Ili viumbwe kwa uhalisia (muonekano) ila baada ya kutekwa na mwanamke ndio uumbaji ukawa unafanyika kwa amri na matakwa ya huyo ufunuo 12:1 (mwanamke). Ndo maana mchawi au mganga alikuwa anaweza kuona nyota yako na vitu ulivyokusudiwa kuwa navyo kabla hujazaliwa nakuviiba sababu wao ndiyo walikumiliki na kuwa katika yao. Isaya 26:13-18
Ilikuwa ni ngumu kuyajua haya pasipo kupata ufahamu ulio juu ya thiolojia ambapo ni kumjua Aliyeumba.
Ili utoke kwa huyo mmiliki Mhubiri 7:26.
Mungu wa freemason ambaye Dunia na ulimwengua unamuabudu kwa kujua au kutokujua unamkuta katika mistari ifuatayo 2korintho 4:4, yeremia 44:17-18, ufunuo 12:1, matendo 19:27 aliyepotosha fikra za wengi wasimjue aliyeumba.
Majira ya kanisa (sio dini) mwezi unasiku 28 ivyo mwaka unasiku 336 ila Dunia iliongeza siku ya 29,30 na 31, mwaka ukawa na siku 365 kukawa na ongezeko la mwezi mmoja.Ndo kalenda ya Gregory inayotumika Hadi Leo.Ndo maana katika mashirika na taasisi kubwa watu hulipwa mshahara wa mwezi wa 13 inapofika December.
Kanisa (sio dini) siku zake ziko kama ifuatavyo:-
Jumatano- Nuru Moja Halisi
Alhamisi- Akili Moja Halisi
Ijumaa- Thamani Moja Halisi
J/mosi- Majira Moja Halisi
J/pili- Moyo mmoja Halisi
J/tatu- Hatma Moja Halisi
J/nne- Kustareheshwa na CHANZO HALISI
Iliuyajue haya lazma upate ufahamu ambao upo juu ya thiolojia, elimu ya Dunia na ulimwengu.Haya yote ninayokwambia ni kwa sababu tupo katika ufalme mwengine kabisa ambao ni waaliyeumba.Ufalme hauji kwa kuchunguzwa 1petro 1:10, Kila aliyechunguza hakuwa na majibu sahihi kuanzia nabii paka mtume ndio maana na kumjua Mungu wa Kweli ni ufahamu mithali 9:10.
Je, andiko linaposema ,yeye Katika enzi za uhai wake alimtolea yeye awezae ,kumuokowa na mauti ,Umesahau jambo moja, Mungu mkuu akauvaa mwili akaishi kama mimi na wewe tunavyoishi. Akahisi njaa, akalia, akachoka mwishoni akasema, duniani MNAYOSHIDA.
Hii Inamaana kwamba alilinganisha life ya duniani na uko aliko akaona duniani ni shida tupu, kwakuwa yeye ni Mungu mkuu katika trinity na yeye ndiye muhasisi wa trinity akasema:, hawa watu wasamehewe kwa imani na si kwa matendo, ukisema uwahesabie kwa matendo hakuna atakae toboa.. Kama ibraal alivyohesabiwa Haki kwa imani na ndivyo hivyo na sisi wamuaminie tunahesabiwa haki kwa imani na si kwa matendo.
Siloam [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Wewe ni mfuasi wa siloam??
Nawasikiaga wakilitaja sana hilo jina "chanzo halisi".
Kama upo kweny msingi wa dini,dhehebu na mapokeo hutaelewa coz aliyetuumba hanahayo yote.Mungu wa kweli na WA DHEHEBU LAKO na Imani yako KWAIYO izo kujadili VITABU sana INAWEZA kufanya kuingia KWENYE masonic kaaa TAFAKARI jitambue Imani ulizowakuta wazazi wako ndio izoizo Sasa UKITAKA uingie deep Zaidi ndipo utakapo potea njia
Yesu sio MUNGU BABA Wala sio baba yeye ni mwana tu. Yohana 17:1-5,Maandiko yanasema,
Yeye yesu enzi za uhai wake alimtolea machozi na Juliayeye awezae kumuokoa na mauti
Je, ni nani Huyo awezae kumuokoa na mauti ,Kama yesu ndie baba Mungu mwenyewe, Katika mwili ,?????????????
Kwani yesu mwana wa Mungu alikuja kufanya Nini Duniani ??Yesu sio MUNGU BABA Wala sio baba yeye ni mwana tu. Yohana 17:1-5,
Mwenye uwezo kukuokoa na nguvu ya mauti ni aliyekuumba
Hosea 13:14
Aliyeumba yaani Mungu Baba ambaye uhalisia wake ni CHANZO HALISI rejea katika 1korintho15:24-28
Alikuja kuwasaidia wote wanaoonewa na Ibilisi kwa mujibu wa matendo10:38 na vitu vyote viliwekwa chini yake kwa ajili ya kanisa(sio dini) Efeso 1:22 lakni majira yake imeisha ndipo tunaona katika 1koritho 15:24-28 hasa ukisoma mstari wa 28 "Basi, vitu vyote vikiisha kutiishwa chini yake, ndipo Mwana mwenyewe naye atatiishwa chini yake yeye aliyemtiishia vitu vyote, ili kwamba Mungu awe yote katika wote."Kwani yesu mwana wa Mungu alikuja kufanya Nini Duniani ??
Unaweza kunieleza thamani ya damu ya YESU mwana wa Mungu??Alikuja kuwasaidia wote wanaoonewa na Ibilisi kwa mujibu wa matendo10:38 na vitu vyote viliwekwa chini yake kwa ajili ya kanisa(sio dini) Efeso 1:22 lakni majira yake imeisha ndipo tunaona katika 1koritho 15:24-28 hasa ukisoma mstari wa 28 "Basi, vitu vyote vikiisha kutiishwa chini yake, ndipo Mwana mwenyewe naye atatiishwa chini yake yeye aliyemtiishia vitu vyote, ili kwamba Mungu awe yote katika wote."