Naomba kujua profile ya Dr Stergomena Tax Bamwenda, katibu mpya mtendaji wa SADC. Je alizaliwa wapi? Na kabla ya kuja serikalini alifanya kazi wapi? Ni kweli kwamba ana asili ya Ujerumani?...
Tuanze na hili la asili ya Ujerumani. Umelijuaje mkuu?Naona angalau wewe una-kaprofile kake huyu mteule.Tuanzie hapo wengine wanaomfahamu zaidi watasaidia kukamilisha wasifu wake....
Kwani ni Mtanzania??
Angekuwa na jina la Byarugaba na rangi nyeusi angekuwa Mnyarwanda ila kwa kuwa nyie watanzania ni limbukeni mmezuzuka na rangi mnamvika UtanzaniaNasikia ni mtanzania kwa mama ila baba yake alikuwa kasisi wa kijerumani
Angekuwa na jina la Byarugaba na rangi nyeusi angekuwa Mnyarwanda ila kwa kuwa nyie watanzania ni limbukeni mmezuzuka na rangi mnamvika Utanzania
Iam half American half Tanzania kwa hiyo nipo kati kati baharini ya AtlantikiWewe ni mmoja wa uzao wa ufalme wa BAHIMA?
Angekuwa na jina la Byarugaba na rangi nyeusi angekuwa Mnyarwanda ila kwa kuwa nyie watanzania ni limbukeni mmezuzuka na rangi mnamvika Utanzania
Angekuwa na jina la Byarugaba na rangi nyeusi angekuwa Mnyarwanda ila kwa kuwa nyie watanzania ni limbukeni mmezuzuka na rangi mnamvika Utanzania
Naomba kujua profile ya Dr Stergomena Tax Bamwenda, katibu mpya mtendaji wa SADC. Je alizaliwa wapi? Na kabla ya kuja serikalini alifanya kazi wapi? Ni kweli kwamba ana asili ya Ujerumani?...
Wewe una hasira gani na watz? Huyo mama ni mtz na kapendekezwa na tz kwenye hiyo kazi.Angekuwa na jina la Byarugaba na rangi nyeusi angekuwa Mnyarwanda ila kwa kuwa nyie watanzania ni limbukeni mmezuzuka na rangi mnamvika Utanzania
Angekuwa na jina la
Byarugaba na rangi nyeusi angekuwa Mnyarwanda ila kwa kuwa nyie
watanzania ni limbukeni mmezuzuka na rangi mnamvika Utanzania
hatuna mpango wa kujito a eac, kokote tunapiga, nchi yetu imebarikiwa kuwa karibu na uhusiano mzuri na nchi jirani, propaganda zingine zinatokana na watu kama wewe au uzembe wetu, kwani sasa hivi ni zamu yetu kutoa katibu mkuu wa sadc kama ilivyo zamu za nchi nyingine kutoa katibu mkuu wa eac.kwa kweli kuwepo kwa mtanzania huyu pale SADC kama mtendaji mkuu na watz wengine kwenye secretarieti ya SADC kama kina John Tesha naona jinsi tz itakavyozidisha kasi ya kuipiga teke EAC zaidi ya tufanyavyo sasa.