DAN LOKOMOTIVE
JF-Expert Member
- Dec 16, 2016
- 1,503
- 1,906
we una gari gani unaendesha mkuu au unategemea kununua gari gani maana ukinunua gari ya design hiyo na uatakua dhaifu sanaNashangaa sana Imekua kama Vile symbo Moja wapo Ya Utajiri kwa nchi za Africa especially Bongo Land kwa Mtu kumiliki Gari.
Gari lenyewe sasa Mtu analotamba nalo Ni Toyota Brand,nyingi Zikiwa Hizi Baby Walker. ..
Mtu ananunua katoyota Basi ndio hata akifika mahala kwenye Kakikao cha Ukoo anataka asikilizwe yeye tu hata kama ataongea pumba..
Mtu unakuta ni Chembamba kuliko Fidodido ,ila atakavyojitanua sasa sanamu la michelini halioni ndani.
Ufunguo siku izi wanaweka kwnye kale Kadude ka mkanda....
Ivi mnajua Huo Mtumba wako wa Gari Nchi nyingine ni Dumped Product Ama ! Unajua Kuna nchi Nyingi Gari yako hiyo unayojidai nayo Ukithubutu kuigiza Nchi kwao unaweza Fungwa Hadi Miaka 30 Jela kwa Kuingiza Bidhaa chakavu.
TUPUNGUZENI MBWEMBWE NA HIVI VIUCHAFU VYETU JAMANI.
MBWEMBWE ZIANZIE
HAPA
0KM BRAND NEW CAR /SUPER BRAND ..SUPER BRAND NAZUNGUMZIA KINA BMW NA NDUGU ZAKE.
ILA KWA SISI WENGINE TUWENI TU WAPOLENI TUNAMILIKI TAKATAKA.
Nnaposema ni symbol tosha ya Umaskini wala sikosei though mtanishambulia,Jaribu kuchunguza kwann Unayo gari uliyonayo , I mean ni vigezo gani vilikufanya umiliki hiyo gari. ? Wengi mliangalia CC...plus Upatikanaji Wa Spare .... maanake ni nn , mnaogopa Gharama za mafuta. .. Kuogopa Gaharama ni nn , kuogopa gharama maana yake ni kutokua na uwezo wa kujitosheleza/kua na uwezo mdogo wa kukabili majukumu makubwa.
Binafsi nnachoendelea kukikomba mwaka huu , moja wapo ni hili , Gari langu la pili lisitoke kwa Hawa Jamaa wa Japan Used Car na Liwe ni Brand New 0KM.
My Case is Different.
My take.
Enough is Enough bana Kwann wao hawatumii Mitumba kutoka Africa , Hadi Nguo za ndani wanatuuzi Used .. Tushikweni na Hasira sasa tuache Kujigamba na Huu uchafu wanaotutupia Hawa watu , mbaya Zaidi Uchafu huo ndio unakuja kutumika kututengenezea Matabaka sisi wenyewe.
Tambua tu ww , Mwenye pikipiki na Asiyekua na chombo chochote cha Moto kwa sisi hapa Bongo wote tu kwnye Tabaka Moja la UMASKINI.
Bwana we watu wana mambo....akiwamo mleta mada na huyo unayemuhisi kamfanyia visa mleta mada. Kipindi fulani nami nilikutana na wafanya visa....Mkuu vipi, kuna mtu kakunyima lifti na kipindi hiki cha mvua??
Jamaa anaponda huku ye mwenyewe anaulizia passo/vitz/starletwe una gari gani unaendesha mkuu au unategemea kununua gari gani maana ukinunua gari ya design hiyo na uatakua dhaifu sana
Jamaa anaponda huku ye mwenyewe anaulizia passo/vitz/starlet
Natafuta moja kati ya Gari Zifuatazo ,Passo,Stallet au Vitz. Gari liwe Arusha
Kwa mwenye hayo magari anaweza share nami picha hapa ama dm,Gari liwe katika hali nzuri na bei nzuri ,iswir number A. .Engine isiwie inavuja popote. Waiting for a seriuous seller. Karibu.www.jamiiforums.com
Hahah nilitaka kujua tajiri huyu anaendesha gari gani la ma bentley,Porsch etc kumbe ye mwenyewe anatafuta kununua zile gari za wanyonge(vitz,starlet,passo) tena used za kibongo bongo sio hata from Japan.Unafukua makaburi
Huyo abiria mwingine alikuwa ni SHE nini??Bwana we watu wana mambo....akiwamo mleta mada na huyo unayemuhisi kamfanyia visa mleta mada. Kipindi fulani nami nilikutana na wafanya visa....
Ilikuwa hivi niliomba lifti kwa jamaa nikamumuuliza kama atapitia sehemu ninapoelekea akasema atapitia...akaniruhusu nipande...ndani ya gari nikakuta alikuwa amempa abiria mwingine lifti.abira huyo namjua. Mvua kubwa ilikuwa inaelekea kunyesha. Baada ya kama dakika 10 toka tuanza safari...huku manyunyu manene manene ya mvua kubwa yanaanza kudondoka...abiria mwenzangu walifit akasikika akimshauri dereva aliyenipa lift kuwa "...kwa nini tusipitie njia ya kilimani....huyu atakimbilia pale mbele kidogo atapata usafiri...."; Dereva wala hakubisha, akaniambia "....bwana eee ....shuka....kimbilia njia panda ile kule mbele....angalia hii mvua kubwa isikulowanishe...." Sikuwa na mwavuli wa koti la mvua. Nikashuka....nilijishangaa nguvu nilizitoa wapi za kumbwambia "....asante nashukuru kwa lift...".
Mwisho wa kisa.
===
Mimi mpaka leo nafikiria hilo lilikuwa tukio lililokuwa" too extreme " na kati ya matukio machache kuwakumba walimwengu.
Huyo abiria alikuwa na roho mbaya sanaHuyo abiria mwingine alikuwa ni SHE nini??
Mtoa mada fala kweli ww una wivu wa kikuda mnoo
Labda kwa gari,ila pikipiki wabongo mbona tunaanzaga na 0km
Ha ha aa! Tuyaache hayo asije akajishuku....Huyo abiria mwingine alikuwa ni SHE nini??
Mtaje tu mzeeHa ha aa! Tuyaache hayo asije akajishuku....
Mtoa mada fala kweli ww una wivu wa kikuda mnoo
Mkuu kumiliki New bland sio mzahaNashangaa sana Imekua kama Vile symbo Moja wapo Ya Utajiri kwa nchi za Africa especially Bongo Land kwa Mtu kumiliki Gari.
Gari lenyewe sasa Mtu analotamba nalo Ni Toyota Brand,nyingi Zikiwa Hizi Baby Walker. ..
Mtu ananunua katoyota Basi ndio hata akifika mahala kwenye Kakikao cha Ukoo anataka asikilizwe yeye tu hata kama ataongea pumba..
Mtu unakuta ni Chembamba kuliko Fidodido ,ila atakavyojitanua sasa sanamu la michelini halioni ndani.
Ufunguo siku izi wanaweka kwnye kale Kadude ka mkanda....
Ivi mnajua Huo Mtumba wako wa Gari Nchi nyingine ni Dumped Product Ama ! Unajua Kuna nchi Nyingi Gari yako hiyo unayojidai nayo Ukithubutu kuigiza Nchi kwao unaweza Fungwa Hadi Miaka 30 Jela kwa Kuingiza Bidhaa chakavu.
TUPUNGUZENI MBWEMBWE NA HIVI VIUCHAFU VYETU JAMANI.
MBWEMBWE ZIANZIE
HAPA
0KM BRAND NEW CAR /SUPER BRAND ..SUPER BRAND NAZUNGUMZIA KINA BMW NA NDUGU ZAKE.
ILA KWA SISI WENGINE TUWENI TU WAPOLENI TUNAMILIKI TAKATAKA.
Nnaposema ni symbol tosha ya Umaskini wala sikosei though mtanishambulia,Jaribu kuchunguza kwann Unayo gari uliyonayo , I mean ni vigezo gani vilikufanya umiliki hiyo gari. ? Wengi mliangalia CC...plus Upatikanaji Wa Spare .... maanake ni nn , mnaogopa Gharama za mafuta. .. Kuogopa Gaharama ni nn , kuogopa gharama maana yake ni kutokua na uwezo wa kujitosheleza/kua na uwezo mdogo wa kukabili majukumu makubwa.
Binafsi nnachoendelea kukikomba mwaka huu , moja wapo ni hili , Gari langu la pili lisitoke kwa Hawa Jamaa wa Japan Used Car na Liwe ni Brand New 0KM.
My Case is Different.
My take.
Enough is Enough bana Kwann wao hawatumii Mitumba kutoka Africa , Hadi Nguo za ndani wanatuuzi Used .. Tushikweni na Hasira sasa tuache Kujigamba na Huu uchafu wanaotutupia Hawa watu , mbaya Zaidi Uchafu huo ndio unakuja kutumika kututengenezea Matabaka sisi wenyewe.
Tambua tu ww , Mwenye pikipiki na Asiyekua na chombo chochote cha Moto kwa sisi hapa Bongo wote tu kwnye Tabaka Moja la UMASKINI.
Mkuu kumiliki New bland sio mzaha