Kuna kipindi nilikuwa na exhange na rafiki wa mtandaoni anaishi USA.
Nilimuuliza, kwa nini huko USA watu wanapenda kumiliki bunduki! Alinipa jibu fupi sana "Self defence" na akanzisha mada nyingine.
Sikumuelewa vizuri, mana tunavyohabarishwa kuwa, vyombo vya ulinzi na usalama nchini USA vipo imara sana, sasa iweje watu wamiliki bunduki!
Baada ya matukio ya utekaji bongo, taratibu nikanza kuona kuwa, Wamarekani wana akili sana, kuruhusu watu kumiliki bunduki kama simu kwa ajili ya kujilinda.
Watu wasiojulikana wangekuwa wanapata ugumu kidogo, katika kuwateka watu endapo watu wangekuwa wanamiliki bunduki, lakini kwa sasa wanawateka kirahisi sana wabongo kama wanakamata bata.
Watu wakiruhusiwa kumiliki bunduki kama simu, itasaidia kuleta heshima mtaani. Uonevu utapungua.
Nilimuuliza, kwa nini huko USA watu wanapenda kumiliki bunduki! Alinipa jibu fupi sana "Self defence" na akanzisha mada nyingine.
Sikumuelewa vizuri, mana tunavyohabarishwa kuwa, vyombo vya ulinzi na usalama nchini USA vipo imara sana, sasa iweje watu wamiliki bunduki!
Baada ya matukio ya utekaji bongo, taratibu nikanza kuona kuwa, Wamarekani wana akili sana, kuruhusu watu kumiliki bunduki kama simu kwa ajili ya kujilinda.
Watu wasiojulikana wangekuwa wanapata ugumu kidogo, katika kuwateka watu endapo watu wangekuwa wanamiliki bunduki, lakini kwa sasa wanawateka kirahisi sana wabongo kama wanakamata bata.
Watu wakiruhusiwa kumiliki bunduki kama simu, itasaidia kuleta heshima mtaani. Uonevu utapungua.