Kumi na moja bila kuchomoa

Kumi na moja bila kuchomoa

Una uhakika ni bao 11?

Ok, kuna jamaa ilikuwa siku yake ya kwanza kufanya ngono. Alikuwa mkubwa tu 28 hivi. Kampata mwanamke kaenda naye faragha.

Kamalizana naye alafu akarudi kijiweni kuwahadithia wenzake. 'Wanangu eeeh, nimepiga bao 11'.

Wenzake wakatamanika kutaka kujua kawezaje. Ndo akawaeleza alikuwa anachomeka na kuchomoa. Yaani ile ingiza chomoa, ingiza chomoa

Vijana mnaita 'tako'. Alipiga tako 11 akaachia wazungu. Yeye anaita bao 11.

Ukute mwenzako naye alikuwa kama mwenzako.
Ha ha ha....
 
Vijana acheni ushamba, mwanaume hasifiwi kwa aina ya bao anazopiga yeye ila anazompigisha mkewe. Ukiona unakojoa kuliko mkeo wewe ni dhaifu sio ujanja, mwanaume shabaab akikojoa mara moja basi mwanamke wake amekojoa aidha mara moja au zaidi
 
Wakuu salaam.

Nimekutana na jamaa hapa ananiambia ashawahi kupiga goli kumi na moja kwa usiku mmoja.

Hii kitu inawezekana kweli? Kuna mtu ambaye ashawahi fikisha?

Nawasilisha.
Unafikisha bila shaka, lakini kuna vigezo vyake:

Uwe umekula chakula cha wastani usishibe kupitiliza.

Awe mpya.

Awe kakulia sana hela zako na kakuzungusha sana na leo umempata.

Katika kumtokea awe alishakujibu dharau mpaka ukatumia kuwadi.

Mlikuwa na chuki baina yenu, sasa mmepatanishwa.

Awe msafi na mlingane "maumbo".

Awe na "bachellor d" ya unyago.

Uwe umelipa madeni na haudaiwi, iwe ni wewe ndiye unadai.

Mazingira ya kufanyia yawe rafiki.

Usikumbushwe au kuombwa hela kabla ya mechi.

Usilinganishwe na kidume yeyote zaidi yako.

Kuwe na ushangiliaji wa ridhaa kila unapofunga goli, liwe la halali ama la mkono.

Paka "mkongo", si kwa sababu wewe ni lege lege, hapana wewe ni shupavu wa kitanda, ila tu unajiweka sawa kisaikolojia uingiapo uwanjani kucheza na timu mpya siku ya leo.

Ili usiwe tena unawaza mambo ya kushindwa, kichwani uwe na jambo moja tu la kuongeza kasi ya kufunga magoli na kujitwalia ushindi.

Kufunga magoli 11 au 12 ni mengi mno kwa mechi moja hata kama magoli yatakuwa ni ya wazi na golikipa kasinzia!
 
Back
Top Bottom