Kumi na moja bila kuchomoa

Kugegeda ndo raha tamu duniani, hata uwe tajiri hakuna starehe kama Hiyo, mtu yupo tayari akose kila kitu ila asiikose raha ya kuhondomola.
 
Gem za kukamia sio poa. Niliwahi kuamka na kizunguzungu siku nzima naona mawenge. Na mhusika ile shoo leo kasahau kabisa ananiona wa kawaida sana
 
Alikuwa anaota!
Hivi mwanume ukipiga kamoja kinachobaki ni kuchoshana tu.

Sioni tija ya kuendelea kutiana kama nimeshaUtupia..
Hizi zingine huwa ni stori za kudanganyana tu!

Ukweli ni kwamba kwa mwanaume kamwanzo ndio kila kitu.
Had 3, ila kule mbelee ni kuchoshana na kuumizana, km sio kukomoana.
 
Binafsi kwenye makuzi yangu nilishawahi kupiga mtu Bao 7, asubuhi natoka Mlangoni, nashuka ngazi 3 tu, nilipiga mweleko chini kama Kiroba...!

Kizunguzungu.... Nikawa nasikia Vibaya sana, ni kama nilikua napambana na Israel......Nikagundua nilichokifanya ni Ujinga, nimemfurahisha Mwanamke hafu mimi roho kidogo iache Mwili.
 
😀😀😀Mtakuja mfe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…