Kumi Bora ya Wabunge walioshindwa kukidhi matarajio ya wananchi

Man from cuba

JF-Expert Member
May 2, 2021
557
1,365
Kwanza kabisa niwape pole ndugu zangu watanzania kwa msoto mkubwa tulioupata kwa mwaka 2022.Wengi wetu tulitegemea mambo angalau yangekuwa nafuu lakini tulikula msoto kama tuko jehanamu😀😀😀😀 umeme, maji, vyakula kupanda bei, mvua kuchelewa ni baadhi ya mambo yaliyowafanya watanzania kupigika haswa.

Tukiachana na hayo kuna list ya Wabunge ambao tulitegemea angalau wangeweza kupigania tasnia iliyowatoa lakini kinyume chake waligeuka kuwa kama Maguire.

Kwa wale wasiomfahamu Maguire ni beki ghali England ambaye hana msaada na mda mwingine anageuka kuwa msaada kwa wapinzani wao.

Hii hapa chini ni list ya Wabunge kumi waliofanya vibaya kwa mwaka 2022 na wanatarajiwa kuendelea kufanya vibaya kwani uwezo wao ni mdogo kama punje ya haradani;

  1. Hamis Taletale - Mbunge wa Jimbo moja huko morogoro na meneja wa msanii diamond maarufu kama babu tale anashika nafasi ya kwanza kwa wabunge wenye uwezo mdogo Sana bungeni.Ukifuatilia michango yake bungeni utaona aibu.
  2. Hamis Kigwangala - Mbunge wa Jimbo moja huko tabora mzee wa nje ya box anashika nafasi ya pili kwa wabunge waliofanya vibaya Sana kwa mwaka 2022. Muda mwingi amekuwa akiutumia instagram kupost vitu visivyo na maana huku jimboni kwake hakuna alichokifanya.
  3. Mwigulu Nchemba - Huyu Sina maelezo mengi ukituma pesa ukakiona cha moto fika iramba kwa msaada zaidi utakutana na Trab na Trat.
  4. Erick Shigongo - Huyu alidhan ubunge ni sawa na hekaya za rais anampenda mke wangu pale Buchosa hakuna cha maana bungeni hakuna anachofanya.
  5. January Makamba - Huyu nawaachia Wana jf
  6. Ali kinanasi - Mbunge wa kyela aliingia kwa matumaini makubwa lakini hakuna alichokifanya jimboni kwake zaidi ya kujivunia miradi iliyoletwa na rais Samia
  7. Tulia Ackson - Spika wa bunge na mbunge wa mbeya mjini zaidi ya bajaji na kusaidia misibani hakuna cha maana alichokifanya jimboni Hadi wananchi kummis sugu.
  8. Nape Nnauye - Anzia jimboni mtama Hadi wizarani hakuna cha maana kinachofanyika.
  9. Alexander Mnyeti - Huyu nadhani ashajikatia tamaa kwa Wana Misungwi
  10. Mwita Waitara - Huyu Wana Tarime wanatamani hata uchaguzi ufanyike leo.
NB: Huu ni mtazamo wangu binafsi kwa mwaka 2022
 
januari makamba nitakataka.🤣🤣🤣njia yasoni bumbuli nimatope tupu nilipita huko mwaka Jana mwezi wa6.nilisikitika sana nilivyo ambiwa kuwa ndio wilaya ya januari hii.wakuu januari nitaka taka imagin tokea elfmbili na tano Hadi sasa hajawajengea baranara nzuri Jimbo lake.halafu mnataka awe raisi.hiitaka taka itamuongoza Nani?
 
januari makamba nitakataka.🤣🤣🤣njia yasoni bumbuli nimatope tupu nilipita huko mwaka Jana mwezi wa6.nilisikitika sana nilivyo ambiwa kuwa ndio wilaya ya januari hii.wakuu januari nitaka taka imagin tokea elfmbili na tano Hadi sasa hajawajengea baranara nzuri Jimbo lake.halafu mnataka awe raisi.hiitaka taka itamuongoza Nani?

Mimi nawashangaa wanaotaka January awe rais wakati jimboni kawaibia SACCOS ya Jimbo.
 
januari makamba nitakataka.🤣🤣🤣njia yasoni bumbuli nimatope tupu nilipita huko mwaka Jana mwezi wa6.nilisikitika sana nilivyo ambiwa kuwa ndio wilaya ya januari hii.wakuu januari nitaka taka imagin tokea elfmbili na tano Hadi sasa hajawajengea baranara nzuri Jimbo lake.halafu mnataka awe raisi.hiitaka taka itamuongoza Nani?
Hio ni takataka iliyooza kbsa
 
Tulia kashindwa kuomba mamlaka kupanua njia nne walau kuanzia nane nane hadi njia panda ya Meta.Mwanjelwa kuna foleni ya hovyo kabisa ambayo haikutakiwa kuwepo kabisa.
Mkuu naskia kuna huo mradi wanaanza upimaji.. njia nne Mbeya hadi Tunduma.
 
Back
Top Bottom