kimwerijcb
JF-Expert Member
- Aug 10, 2018
- 259
- 230
Ahahahahaaa,bangi kwa pamojawakati natafuta maisha.niliwahi kujiunga na dini ya ki, Buddha
so miiko na principle zao nazipata kwa ufasaha Sana
nilikuwa napendelea zaidi sex mediation. na walikuwa Wana ibada ya sex.
na.me kutaka masifa Yale mafunzo ya wale wazee nikawa Naya apply kwa wadada wa huku.
sex ya ki Buddha Ni ,zaidi ya ibada ya ma Rasta wakiwa wanasokota bangi kwa pamoja.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app