Zogwale
JF-Expert Member
- Jul 10, 2008
- 15,295
- 10,957
Big up Mugabe?are you serious?Umeonana na Wazim popote?can you imagine ikiwaban elites wa CCM kuingia EU
kwa ajili ya human rights abuses?ndio kulichotokea,ametaifisha mashamba toka kwa wazungu ,that is fine,sasa yale mashamba wameshindwa kulima!!!
Zim ilikuwa the basket of Africa,sasa njaa kubwa huko mtu wa kawaida anasuffer
Hapa kama kuna njaa ni tatizo lao cha msingi ardhi ni rasilimali yao kwa sasa. wasipoweza kulima leo watoto na wajukuu zao watalima kama kilimo kitalipa. Ni kipi bora, kubaki na rasilimali au kuwapa neema wageni. Hivi tujiulize kwa Tanzania mahandaki yameachwa katika migodi na ndugu zetu hawana faida na madini hayo kila siku ndege zinatua na kuambaa na mali zetu sasa unataka vipi? Mbaya zaidi subiri mambo ya makaa ya mawe mchuchuma na Liganga badala ya kampuni za kichina zitakiwe ziweke miundombinu ya kusaidia wananchi eti wanawafungulia miradi ya kitimoto na kuku ili wachina wapate chakula, eti na employment!!!! ------- sisi kweli, yaani badala tuwaambie wajenge shule, hospital, barabara, vyuo vya ufundi, n,k eti wanasaidia miradi? Wajinga kama sisi tutoke wapi? Narudia big up Mugabe, kimbiza wazungu na wawekezaji uchwara wote wasio wazimbabwe kwa kuwa hela yao kwanza wanakimbiza nje na multiplier effect kwa uchumi hakuna.