KUMEKUCHA: Washereheshaji(MCs) na Wapiga picha kuanza kutozwa kodi

Kodi ya zuio (withholding Tax ) inakusanywa na mpewa huduma. Mfano unapopanga chumba kodi yako 30,000 kwa Mwezi, unatakiwa kumkata mwenye nyumba wako 3,000 ukazilipe TRA.

Hii imekuwa ikifanya kazi vizuri kwenye wapangaji wa majengo ya ofisi. Lakini huku kwenye makazi watu tumekuwa tukiwaachia wenye nyumba kodi za serikali kwa kuwalipa full amount. Sasa walete utaratibu wa namna ya kuwabana wapangaji wa makazi nao walipe hiyo kodi na kuwakata wenye nyumba. Ikiwezekana mikataba ya kupangishana nyumba iwe ni lazima igongwe muhuri wa serikali ya mtaa. huo muhuri usigongwe hadi mkataba uwe umepita TRA kwanza. Kwa ajili ya Tax clearance. Hapo wataweza kukusanya hiyo kodi ya zuio kwa wenye nyumba za kupangisha
acha unoko hao wapangaji unakuta hana hela anadaiwa hata mwaka/miezi sita.ukimwingiza kwenye system ya TRA alipe kodi,Fine na penalty ?
 
Kodi ya zuio (withholding Tax ) inakusanywa na mpewa huduma. Mfano unapopanga chumba kodi yako 30,000 kwa Mwezi, unatakiwa kumkata mwenye nyumba wako 3,000 ukazilipe TRA.

Hii imekuwa ikifanya kazi vizuri kwenye wapangaji wa majengo ya ofisi. Lakini huku kwenye makazi watu tumekuwa tukiwaachia wenye nyumba kodi za serikali kwa kuwalipa full amount. Sasa walete utaratibu wa namna ya kuwabana wapangaji wa makazi nao walipe hiyo kodi na kuwakata wenye nyumba. Ikiwezekana mikataba ya kupangishana nyumba iwe ni lazima igongwe muhuri wa serikali ya mtaa. huo muhuri usigongwe hadi mkataba uwe umepita TRA kwanza. Kwa ajili ya Tax clearance. Hapo wataweza kukusanya hiyo kodi ya zuio kwa wenye nyumba za kupangisha
hujakosea umepatia ila wenyenyumba watakachofanya ni kupandisha kodi tu litakuwa zigo lingine kwa lalahoi usie na nyumba mnaacha kuptia upya mikataba ya madini nyie mnakazi ya kumkamua maziwa ng'ombe asiye na lishe miccem hamna ki2 kabisa..
 

BUNGENI: Wabunge wataka Washehereshaji(MCs) na Wapiga picha waanze kutozwa kodi ili Serikali iweze kukusanya mapato ya kutosha.

Wakati huo huo, Mbunge wa Iramba Mashariki (CCM), Allan Kiula amesema maeneo mapya ambayo yanaweza kuanzishiwa kodi kuwa ni pamoja na Ushauri Elekezi (Consultancy Agencies) sambamba na kuimarishwa kwa ukusanyaji wa kodi ya zuio ya asilimia 10 kutoka kwa wamiliki na wapangaji wa nyumba na makazi.
Nataka nimsikie Tundu Lissu hapa , washereheshekaji bana,hawa wanapata karibu milioni 1-hadi 6 kwa wiki na hawalipi kodi banaa
 
Tutazunguukaaa lakini mwisho wa siku mpangaji ndiye atakayelipa

Kama mwenye Nyumba kodi ni 30,000/ usishangae akiianza kudaiwa atapandisha kodi ifike 35,000/
Nyambafu..
Hivi unajua maana ya 10%??
10% haimuhathiri mwenye nyumba ila itamuhathiri mpangaji ..na hapo hajalipia bill ya maji au umeme
 
Yaani utafikiri nchi hii haina chochote, tuna madini, gesi, mafuta,maji, misitu, wanyama, Ardhi na kila aina ya sampuli ya vyanzo vya asili vya kuingiza mapato.. Usimamizi Mbaya, Ndiyooooo, ubinafsi na uchama ndio umetufikisha hapa! Haya Semeni na Kila mtoto utakayemzaa utamlipia kodi kila mwaka mpaka atakapooa au kuolewa.
 
Kuwa na uelewa mdogo kuhusu maswala ya kodi hupelekea wengi wetu kushangilia kodi zinapo ongezwa. Mlipa kodi siku zote ni mtumiaji, mtoa huduma ni wakala tu. Vyanzo vizuri haviguswi kwa sababu huwagusa wakubwa. Misamaha ya kodi kwenye posho, vitu waletavyo toka ulaya nk hawajadili.
 
Kuwahiyo Mimi nikiwa MC Wa kipaimara pia nitatozwa kodi ya kuwa MC Wa kipaimara na komniyo na ubatizo.

Sasa sijui hadi ma - MC Wa misibani nao watatozwa "burial MC fee"?

Mwafwaaaaaa.....
 
Sisi tunaokodisha viti vya plastiki na maturubai msije kutotoza kodi tafadhali.
 
Tunakoelekea huku hadib madada poa watalipa kodi kwa huduma wanayotoa
 
Kodi ya zuio (withholding Tax ) inakusanywa na mpewa huduma. Mfano unapopanga chumba kodi yako 30,000 kwa Mwezi, unatakiwa kumkata mwenye nyumba wako 3,000 ukazilipe TRA.

Hii imekuwa ikifanya kazi vizuri kwenye wapangaji wa majengo ya ofisi. Lakini huku kwenye makazi watu tumekuwa tukiwaachia wenye nyumba kodi za serikali kwa kuwalipa full amount. Sasa walete utaratibu wa namna ya kuwabana wapangaji wa makazi nao walipe hiyo kodi na kuwakata wenye nyumba. Ikiwezekana mikataba ya kupangishana nyumba iwe ni lazima igongwe muhuri wa serikali ya mtaa. huo muhuri usigongwe hadi mkataba uwe umepita TRA kwanza. Kwa ajili ya Tax clearance. Hapo wataweza kukusanya hiyo kodi ya zuio kwa wenye nyumba za kupangisha
Halafu mapangaji akishindwa kulipa mzigo wa kodi anabebeshwa nani?
 
Waanzishe na kodi ya kujamiana huko ndiko watapata mapato mengi sana, kila goli kuwe na kodi yake, ukidanganya kuwa umepiga goli moja wakati umepiga goli tatu unapigwa faini
hahhahahhaha yaaaani we jamaaa umenichekesha balaaaa!! nilikua na stress hapa zimeisha
 
Nyambafu..
Hivi unajua maana ya 10%??
10% haimuhathiri mwenye nyumba ila itamuhathiri mpangaji ..na hapo hajalipia bill ya maji au umeme

Nyambafu kwa sababu au kwa kosa lipi?

Unaniita nyambafu halafu unaongea nilichoandika SMH
 
Back
Top Bottom