BUNGENI: Wabunge wataka Washehereshaji(MCs) na Wapiga picha waanze kutozwa kodi ili Serikali iweze kukusanya mapato ya kutosha.
Wakati huo huo, Mbunge wa Iramba Mashariki (CCM), Allan Kiula amesema maeneo mapya ambayo yanaweza kuanzishiwa kodi kuwa ni pamoja na Ushauri Elekezi (Consultancy Agencies) sambamba na kuimarishwa kwa ukusanyaji wa kodi ya zuio ya asilimia 10 kutoka kwa wamiliki na wapangaji wa nyumba na makazi.
ni wapuuzi kweli hasa kwenye kujitangaza kwa bei wanazolipwa halafu kumbe hawalipi kodi. walitakiwa wawe wanapiga mpunga kimyakimya ili wasishitukiwe kuwa wanauza sanaa yao.
BUNGENI: Wabunge wataka Washehereshaji(MCs) na Wapiga picha waanze kutozwa kodi ili Serikali iweze kukusanya mapato ya kutosha.
Wakati huo huo, Mbunge wa Iramba Mashariki (CCM), Allan Kiula amesema maeneo mapya ambayo yanaweza kuanzishiwa kodi kuwa ni pamoja na Ushauri Elekezi (Consultancy Agencies) sambamba na kuimarishwa kwa ukusanyaji wa kodi ya zuio ya asilimia 10 kutoka kwa wamiliki na wapangaji wa nyumba na makazi.
Yeah.. This is too bad photographer kutozwa kodi,
Serikali imekuja mbio kwa spidi ya bolt bila hodi,
Hospitali nyingi zina feli hakuna kitu hakuna wodi,
Vijana wanalialia ajira hakuna somebody I told.
Freestyle rap.