Herbalist Dr MziziMkavu
Platinum Member
- Feb 3, 2009
- 43,074
- 34,844
- Thread starter
- #21
Mimi simlaumu Rais labda watu wa kuwalaumu wale Washauri wake ndio wabovu Rais anao washauri wake hao ndio watu wa kuwalaumu ingawa Rais ndie mtendaji Mkuu wa nchi na mzigo wote tunapenda kumtupia yeye kazi kweli ipo hapa nyumbaniUnaelewa kwanini namlaumu rais? rais ndiye mwananchi mwenye mamlaka ya juu nchini na mwenye maamuzi ya mwisho. Unataka kuniambia kama mmoja wa watendaji wake anaboronga rais atashindwa kumuwajibisha kweli? Akifanya vitu kwa mifano believe me, watendaji wake wataogopa ila huyu yanki wetu yeye ni kucheka tu. Nani atamchukulia serious?