Herbalist Dr MziziMkavu
JF-Expert Member
- Feb 3, 2009
- 43,037
- 34,741
sasa mpaka afike c yameisha!
Nchi feki Serikali ni Feki wananchi wenyewe ni feki labda wanyama ndio Orignall khaaaa......................nchi ya kusadikika hii, kila kitu shaghalabaghala
nchi ya kusadikika hii, kila kitu shaghalabaghala
Usimlaumu Rias kwani Rais ana kazi yake hawezi kufanya kazi zote Rais ni mkuu wa nchi walaumu wale watendaji wake wa Rais aliowapa Uongozi ndio wa kulaumiwa Rais hawezi kufanya kazi zote za nchi hata kidogo.Ukitaka kujuwa ufinyu wa nchi kwanza tizama rais wake then chuja akili za wananchi wake!
Waafrika lazima tukubali kuna kitu tunamiss!? Sio bure!
We're ignorant and lacking intelligent, too much bla bla...Aaagrrr
Huu ukweli mara zote huwa mchungu saana kuukubali! Ila that's way it it!.
Usimlaumu Rias kwani Rais ana kazi yake hawezi kufanya kazi zote Rais ni mkuu wa nchi walaumu wale watendaji wake wa Rais aliowapa Uongozi ndio wa kulaumiwa Rais hawezi kufanya kazi zote za nchi hata kidogo.
Usimlaumu Rias kwani Rais ana kazi yake hawezi kufanya kazi zote Rais ni mkuu wa nchi walaumu wale watendaji wake wa Rais aliowapa Uongozi ndio wa kulaumiwa Rais hawezi kufanya kazi zote za nchi hata kidogo.