Kumekucha: Polisi wapewa siku saba kuwaomba msamaha Walemavu

Mbona mnawapiga mabom wale jamaa wa tarime walioenda "kujionea huruma" kwenye mali zao walizoambiwa na pombe kuwa acacia anawaibia?
Huko mimi sipo. Nilichojaribu kumwelewesha jamaa yangu ni kwamba, hao waliopigwa wanapaswa kujionea huruma kwenye sanduku la kura. Ukimchagua shetani basi ujue umeyakubali na mambo yake yote.
 
Haisikitishi, inafundisha. Hao hao wakipewa tisheti hurukwa akili wakadhani shetani ana rafiki. Huu mwaka acha tutandikwe mpaka akili ziturudie
Tena yule mwakilishi wao akalamba ukatibu wizara ya sheria jina nmemsahau
Baada ya kuwa mstari wa mbele kipindi cha kampeni
 
Huko mimi sipo. Nilichojaribu kumwelewesha jamaa yangu ni kwamba, hao waliopigwa wanapaswa kujionea huruma kwenye sanduku la kura. Ukimchagua shetani basi ujue umeyakubali na mambo yake yote.
Kura zipi mkuu!!
Kama ni zile za Lubuva basi itakuwa umejitoa ufahamu makusudi ili uwaongopee baadhi ya members kanakwamba una busara!!!
 
Kila aliefanyiwa udhalilshaji alipwe kiwango fulani cha fedha na wote wapatiwe simu, mbona kuna mengine yanawezekana kama la Noah?
 
Kura zipi mkuu!!
Kama ni zile za Lubuva basi itakuwa umejitoa ufahamu makusudi ili uwaongopee baadhi ya members kanakwamba una busara!!!
Nina busara na ndio maana ya kwangu (japo ilifeli kwa sababu za kijecha) niliipeleka mahali sahihi. Tangu awali nilifahamu kuwa shetani hana rafiki. Lakini hao tunaowaonea huruma leo, walikuwa wakipeperusha bendera na kujipamba na matisheti kisa tu Ya Moto Band na Diamond wametumbuiza.

Unapojitoa ufahamu kwenye sanduku la kura basi fahamu zinakurudia ukishapata marungu mawili matatu. Naamini next time hawatapita mitaani kukampenia maafa yao wenyewe
 
Au wamwambie bosi wao awape Noah zao mapema!! Hii inaweza kutuliza mambo kidogo.
 
Aliyemuelewa huyu anyooshe kidole tafadhali!!
 
Katikati ya kashfa ya Lugumi Jeshi la Polisi lilisifiwa kuwa ni safi kwa asilimia 99.99. Usafi huo pengine unatokana na mambo kama haya!
 
NYIE LUMUMBA UWA NI WEPESI KUSIFIA SANA MBONA HILI AMJA SIFIA TUMESHAWAZOEA KUSIFIA HADI UJINGA
 
Ni bora tuwape mamangi UKAWA maana kila mtu atakuwa anafanya atakacho hakuna kutii sheria wala nini, mishahara kila mtu 9000000000000000000000000000000000000000, Maandamo mpaka kwenye chumba cha ikulu ni wewe tu, ukitaka kuiba kwiba tu. Popoooooz
 
Yaani NSATO MARIJANI aje hadharani kuomba Radhi ! Itakuwa maajabu ya dunia .
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…