Mbona mnawapiga mabom wale jamaa wa tarime walioenda "kujionea huruma" kwenye mali zao walizoambiwa na pombe kuwa acacia anawaibia?Kila mtu aanze kwa kujionea huruma yeye mwenyewe. Wakati wa kuishi kwa mazoea umepita
Huko mimi sipo. Nilichojaribu kumwelewesha jamaa yangu ni kwamba, hao waliopigwa wanapaswa kujionea huruma kwenye sanduku la kura. Ukimchagua shetani basi ujue umeyakubali na mambo yake yote.Mbona mnawapiga mabom wale jamaa wa tarime walioenda "kujionea huruma" kwenye mali zao walizoambiwa na pombe kuwa acacia anawaibia?
Tena yule mwakilishi wao akalamba ukatibu wizara ya sheria jina nmemsahauHaisikitishi, inafundisha. Hao hao wakipewa tisheti hurukwa akili wakadhani shetani ana rafiki. Huu mwaka acha tutandikwe mpaka akili ziturudie
Haya mambo yanayoendelea nchini ni ishara tosha kwamba hawa ccm wana laana,unafunua sketi za wamama watu wazima wakukuzaa ili uone nini?Waliiwafunua nguo!! Walitaka kuona nini?
Kura zipi mkuu!!Huko mimi sipo. Nilichojaribu kumwelewesha jamaa yangu ni kwamba, hao waliopigwa wanapaswa kujionea huruma kwenye sanduku la kura. Ukimchagua shetani basi ujue umeyakubali na mambo yake yote.
Nina busara na ndio maana ya kwangu (japo ilifeli kwa sababu za kijecha) niliipeleka mahali sahihi. Tangu awali nilifahamu kuwa shetani hana rafiki. Lakini hao tunaowaonea huruma leo, walikuwa wakipeperusha bendera na kujipamba na matisheti kisa tu Ya Moto Band na Diamond wametumbuiza.Kura zipi mkuu!!
Kama ni zile za Lubuva basi itakuwa umejitoa ufahamu makusudi ili uwaongopee baadhi ya members kanakwamba una busara!!!
Aliyemuelewa huyu anyooshe kidole tafadhali!!Nina busara na ndio maana ya kwangu (japo ilifeli kwa sababu za kijecha) niliipeleka mahali sahihi. Tangu awali nilifahamu kuwa shetani hana rafiki. Lakini hao tunaowaonea huruma leo, walikuwa wakipeperusha bendera na kujipamba na matisheti kisa tu Ya Moto Band na Diamond wametumbuiza.
Unapojitoa ufahamu kwenye sanduku la kura basi fahamu zinakurudia ukishapata marungu mawili matatu. Naamini next time hawatapita mitaani kukampenia maafa yao wenyewe
Unaalika mashabiki ukidhani watakuongezea kitu kichwani? Kama hukuweza kunielewa, rudia kusoma.Aliyemuelewa huyu anyooshe kidole tafadhali!!
Huwezi kupiga ngoma na kucheza, subiri wanyooshe mikono waliokuelewa.Unaalika mashabiki ukidhani watakuongezea kitu kichwani? Kama hukuweza kunielewa, rudia kusoma.
Ni bora tuwape mamangi UKAWA maana kila mtu atakuwa anafanya atakacho hakuna kutii sheria wala nini, mishahara kila mtu 9000000000000000000000000000000000000000, Maandamo mpaka kwenye chumba cha ikulu ni wewe tu, ukitaka kuiba kwiba tu. PopooooozNina busara na ndio maana ya kwangu (japo ilifeli kwa sababu za kijecha) niliipeleka mahali sahihi. Tangu awali nilifahamu kuwa shetani hana rafiki. Lakini hao tunaowaonea huruma leo, walikuwa wakipeperusha bendera na kujipamba na matisheti kisa tu Ya Moto Band na Diamond wametumbuiza.
Unapojitoa ufahamu kwenye sanduku la kura basi fahamu zinakurudia ukishapata marungu mawili matatu. Naamini next time hawatapita mitaani kukampenia maafa yao wenyewe
Yaani NSATO MARIJANI aje hadharani kuomba Radhi ! Itakuwa maajabu ya dunia .KITUO cha Sheria na Haki za Binadamu (LHRC) kimetoa siku saba kwa Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam kuwaomba msamaha walemavu kwa udhalilishaji waliowafawanyia.
Pia wamelitaka jeshi hilo kulipa fidia ya baiskeli za walemavu 30, zilizoharibiwa kutokana na shambulizi la polisi pamoja na simu za mkononi na fedha.
Wamesema wasipofanya hivyo, watachukua hatua za kisheria kwa kuwafikisha mahakamani.
Juni 16 mwaka huu, Jeshi la Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam liliwaadhibu watu wenye ulemavu waliokuwa wakifanya maandamano ya kupinga kuzuiwa kuingia katikati ya jiji wakiwa na bajaji zao.
Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa LHRC, Anna Henga alisema siku hiyo polisi walitumia nguvu iliyopitiliza na kinyume cha utaratibu kwa kufanya manyanyaso yaliyopitiliza kwa walemavu wanawake ambao walifunuliwa nguo zao na askari wa kiume.
“Jambo hili ni fedheha , udhalilishaji na linatweza utu wa mwanamke na kitendo hiki si cha kiungwana na tunakikemea vikali,”alisema.
Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaama jana, Mkurugenzi wa Taasisi ya Haki za Binadamu na Maendeleo ya Kiuchumi kwa Watu Wenye Ulemavu, David Nyendo alisema walemavu hawakufanya maandamano bali ni madereva wa bajaji walikwenda kumwona Mkurugenzi wa Manispaa wapewe sehemu maalumu ya kupaki bajaji zao.
“Ndani ya siku saba, Jeshi la Polisi Kanda ya Dar es Salaam na Mkuu wa Jeshi hilo, kwa namna yoyote ile litakavyoona vema lijitokeze hadharani kuwaomba msamaha watu wenye ulamavu na taifa kwa ujumla kwa kitendo cha udhalilishaji kilichotekelezwa na maafisa wake.
“Kinyume na hapo hatua nyingine za kisheria zitachukuliwa dhidi ya Jeshi la Polisi.
“Pia ndani ya muda huo hu, tunaliomba jeshi hilo litoe fidia ama nafuu kwa waathirika wa shambulizi hilo ambazo ni; baiskeli za walemavu 30 ambazo ziliharibika kutokana na shambulizi la polisi,”alisema Nyendo.
Chanzo: Mtanzania
Bado fidia..unajua hali za walemavu zilivyo ngumu!?Mbona waziri amesha omba radhi.
Hii ni laana toshaHaya mambo yanayoendelea nchini ni ishara tosha kwamba hawa ccm wana laana,unafunua sketi za wamama watu wazima wakukuzaa ili uone nini?