jogi
JF-Expert Member
- Sep 25, 2010
- 25,558
- 25,320
Mbona mnawapiga mabom wale jamaa wa tarime walioenda "kujionea huruma" kwenye mali zao walizoambiwa na pombe kuwa acacia anawaibia?Kila mtu aanze kwa kujionea huruma yeye mwenyewe. Wakati wa kuishi kwa mazoea umepita