Kumekucha: Polisi wapewa siku saba kuwaomba msamaha Walemavu

Ni bora tuwape mamangi UKAWA maana kila mtu atakuwa anafanya atakacho hakuna kutii sheria wala nini, mishahara kila mtu 9000000000000000000000000000000000000000, Maandamo mpaka kwenye chumba cha ikulu ni wewe tu, ukitaka kuiba kwiba tu. Popoooooz
Exaggeration!

Ukiondoa dhana ya umungu mtu, si kweli kwamba maandamano ni kitu kigeni dunia hii. Angalia taarifa za habari nje ya nchi yetu, watu wanaandamana na mawe mkononi, wanachoma moto milki za watu wengine na bado haki yao inaheshimiwa. Simaanishi kuwa maandamano ni tija kwa kila jambo, lakini tambua kuwa kila mmoja wetu ana haki ya kusikilizwa.
 
Matamko kama haya yangekuwa na utekelezaji waliomtesa Dr ulimboka wangekuwa ndani
Waliopoga kibada wangekuwa ndani
 
Alafu wakitunguliwa huko kibiti wanataka tulie, sijui wanatumia vitu gani???
 
Ni mwanzo mzuri kuona LHRC imeliona hili na imeahidi kulifanyia kazi,please hapa wanasheria wanaweza kutusaidia ,kwa sheria zetu tulizokuwa nazo ,hii kesi utaifungulia wapi ?because wapa watuhumiwa ni polisi ninavyoona mie itakuwa ngumu mno polisi kufungua jalada la kesi,wakajipeleleza wenyewe,na wakajashitaki wenyewe,suala hili ndio maana KATIBA MPYA ni muhimu,maana tungekuwa na IPD ambao ndio ingekuwa kimbilio kwa wananchi wanapoona hawakutendewa haki na polisi,maana kitengo hiki kisheria wana uwezo wa kufungua kesi,kupeleleza na kumshitaki polisi kama yupo in other side of the law,ila kwa sasa mmmm sioni mafanikio ya kesi hii ,naomba nielimishwe itakuaje.
 
Inabidi IGP Sirro atufafanulie nguvu za kadri ndio zipi. Kupiga bunduki kwenye umati pasipo na ulazima na kuchapa walemavu sidhani kama ni reasonable use of force.
 
Bado narudia tena kuandika hapa, utovu mwingi ufanywao na polisi ni matokeo ya wingi wa failures.

Watu wanaajiriwa sio kwa kuwa wana wito bali kutokana na ukosefu wa ajira kulikosababishwa na kukosa sifa za kielimu...
 
Back
Top Bottom