Uchaguzi 2020 Peter Msigwa awasilisha barua kwa Katibu Mkuu wa CHADEMA kuomba kuteuliwa kugombea Urais wa Tanzania

Shark

JF-Expert Member
Jan 25, 2010
29,459
29,156
Mbunge wa Iringa Mjini na Mwenyekiti wa Chadema kanda ya Nyasa Mheshimiwa Mchungaji Peter Msigwa leo amewasilisha barua kwa Katibu Mkuu wa CHADEMA kuomba kuteuliwa kugombea Urais wa Tanzania,

---
Mbunge wa jimbo la Iringa Mjinikupitia chama cha Democrasia na Maendeleo CHADEMA Peter Msigwa pamoja na Muheshimiwa Tundu Lissu wametangazwa kuwasilisha barua ya kutia niaya kuwania Uraisi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzanial

Kwa nyakati tofauti wamewasilisha barua hizo kwa katibu mkuu wa chama hicho ambapo Lissu anadaiwa kuongea na Watanzania muda wowote.

Mbunge wa Jimbo la Iringa Mjini, Mwenyekiti wa Kanda ya Nyasa na Mjumbe wa CC ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Peter Msigwa amewasilisha barua kwa Katibu Mkuu wa chama hicho, ya kutia nia ya kuwania urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Msigwa.jpg
 
Ni haki yake ila mwisho wa siku atakuja kujitoa na kusema anamuunga mkono Lissu.Hata Nyalandu nae atakuja kujitoa na kumuachia Lissu hiyo nafasi.Huu ni mkakati wa kisiasa wa kumpa Lissu nguvu zaidi katika uchaguzi huu japo hatuna Tume Huru.

Kama anataka kutafuta sababu ya kuondoka CHADEMA kupitia mchakato wa uteuzi, muda utasema.
 
Anatumia nguvu nyingi huku mizizi ya shingo ikimtoka kutuaminisha kitu huku akijua kuwa ni uongo . Sijui anatuchukuliaje
Aliwachukulia kuwa watanzania ni watu poa sana,yani wameamini uongo kwa miaka saba.
 
Back
Top Bottom