POMPO
JF-Expert Member
- Mar 12, 2011
- 6,690
- 2,400
Wakuu,
Hali ya mambo visiwani Zanzibar siyo nzuri hata kidogkids goo, (wala si ya kufurahia) toka jana jioni ilipotoka taarifa ya kufukuzwa kazi kwa Mwanasheria Mkuu wa SUK Athuman Masoud.
Kumekuwa na vikao usiku kucha kwa viongozi na wanachama wa CUF Zanzibar, na kuazimia pamoja na mambo mengine kufanya tathimini ya "KUJIUZULU" kwa makamo wa kwanza wa rais wa serikali ya umoja wa kitaifa. Maalim Seif.
Naam, mmoja wa vijana aliepewa kazi ya kupima upepo ambaye ni mwanasheria wa CUF, anaangalia swala hili kisheria (ikumbukwe kuna makubaliano ya kisheria katika kuongoza SUK).
Baadhi wamepewa angles tofauti na kutoa majibu mapema iwezekanavyo.
Ili Mheshimiwa achukue uamuzi Mgumu haraka leo.
Kama ikiwa ndio hivyo, kesho Media zote ni kujiuzulu kwa Sharif na si kupokeaji wa katiba.
My take:
Kama karidhia yeye mwenyewe Mh.Maalim, na iwe hivyo ila kama ni kupata attention ya media tu siyo.
Stay tuned...
UPDATE: 12:00
1. Ndege ya kukodi kutoka Tanganyika imewasili visiwani Zanzibar muda kidogo na ujumbe wa wazee wazito wa upande wa pili CCM.
2.Baadhi ya viongozi wa UKAWA wamewasili airport Zanzibar akiwemo Dr.Slaa (katibu mwenza UKAWA) haijulikani ni kwa ajili ya hii issue ama la...
3.Kuna kikao kizito kimeanza kuhusu issue hii,(KUJIUZULU MSM) kikiongozwa na baadhi ya wazee ambao wanaonekana wana ushawishi mkubwa na walisimamia MUAFAKA.
katika moja ha hotel Zanzibar.
4. Baada ya habari hizi kusambaa kwa kasi, MAMBO si swari sana DODOMA. Dr. Shein hana raha na atahitajika kurudi Znz hataka.
Stay tuned...
Hali ya mambo visiwani Zanzibar siyo nzuri hata kidogkids goo, (wala si ya kufurahia) toka jana jioni ilipotoka taarifa ya kufukuzwa kazi kwa Mwanasheria Mkuu wa SUK Athuman Masoud.
Kumekuwa na vikao usiku kucha kwa viongozi na wanachama wa CUF Zanzibar, na kuazimia pamoja na mambo mengine kufanya tathimini ya "KUJIUZULU" kwa makamo wa kwanza wa rais wa serikali ya umoja wa kitaifa. Maalim Seif.
Naam, mmoja wa vijana aliepewa kazi ya kupima upepo ambaye ni mwanasheria wa CUF, anaangalia swala hili kisheria (ikumbukwe kuna makubaliano ya kisheria katika kuongoza SUK).
Baadhi wamepewa angles tofauti na kutoa majibu mapema iwezekanavyo.
Ili Mheshimiwa achukue uamuzi Mgumu haraka leo.
Kama ikiwa ndio hivyo, kesho Media zote ni kujiuzulu kwa Sharif na si kupokeaji wa katiba.
My take:
Kama karidhia yeye mwenyewe Mh.Maalim, na iwe hivyo ila kama ni kupata attention ya media tu siyo.
Stay tuned...
UPDATE: 12:00
1. Ndege ya kukodi kutoka Tanganyika imewasili visiwani Zanzibar muda kidogo na ujumbe wa wazee wazito wa upande wa pili CCM.
2.Baadhi ya viongozi wa UKAWA wamewasili airport Zanzibar akiwemo Dr.Slaa (katibu mwenza UKAWA) haijulikani ni kwa ajili ya hii issue ama la...
3.Kuna kikao kizito kimeanza kuhusu issue hii,(KUJIUZULU MSM) kikiongozwa na baadhi ya wazee ambao wanaonekana wana ushawishi mkubwa na walisimamia MUAFAKA.
katika moja ha hotel Zanzibar.
4. Baada ya habari hizi kusambaa kwa kasi, MAMBO si swari sana DODOMA. Dr. Shein hana raha na atahitajika kurudi Znz hataka.
Stay tuned...