johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,002
- 142,028
Chadema imeyaagiza Matawi yake yote Nchini Kufanya mikutano mikuu Kati ya tarehe 27/12/2023 hadi 03/01/2024
Mnyika amesema ajenda ya mikutano hiyo Kujadili Miswada ya Sheria za Uchaguzi itakayopelekwa bungeni hivi karibuni
Kisha mihutasari yote ya mikutano hiyo ipitishwe kwenye taratibu zote za kichama hatimaye zifike makao makuu kwa maamuzi Rasmi, ameagiza KM mh Mnyika
I wish you a Merry Christmas 😀
Mnyika amesema ajenda ya mikutano hiyo Kujadili Miswada ya Sheria za Uchaguzi itakayopelekwa bungeni hivi karibuni
Kisha mihutasari yote ya mikutano hiyo ipitishwe kwenye taratibu zote za kichama hatimaye zifike makao makuu kwa maamuzi Rasmi, ameagiza KM mh Mnyika
I wish you a Merry Christmas 😀