Salt Bae
Senior Member
- Jan 9, 2019
- 140
- 196
Kwa hiyoKusikia Kwa Kenge Hadi Atoke Damu Puani Na Masikioni
Mwana Kulilonda, Mwana Kulipata
Kwa hiyoKusikia Kwa Kenge Hadi Atoke Damu Puani Na Masikioni
Mwana Kulilonda, Mwana Kulipata
acha ujinga mwenzio akinyolewa wewe tia majiSio kweli...ni uzushi mimi mbona nina salio m pesa na hawajakata
Zilongwa Mbali, Zitendwa MbaliKwa hiyo

















































































































contents za app hiyo zinahusu nini?App inayotoa vocha za bure za kuanzia 1000 2000 5000 kwa kujiunga na kualika watu wajiunge
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂Mtazirudisha kupitia matunďu yote ya mwili
😂 😂 😂 😂 😂Duuh!! Huku tala,kule dent...sio mchezo.
Uzi wa matapeliasalaleeee tulichukua bandke kule Dent sasa tunapokea sms za makato kutoka M....pesa
tazama mwenyewe hapa chiniView attachment 1142305
bure n mavi
WtF........
Hahah kuna mwana alinipa link nikadownload kale ka app nikasema ngoja bundle la voda nililojiunga liishe ndo nimwemwereke na hii offer kumbe msiba wa kichina.
Asante JF sio muda mrefu nilikuwa nijinunulishe hii offer ila sasa app yenyewe naifutilia mbali
mavi yenyewe hayatoki bure ni lazima uwe umekula na ili ule ni lazima ugharamike kwanza
Nikialika watu hawatoi inafeli shida nn na dents zinapunguaNikialika mtu nikazi ya bure hiyo???? Ten iyo buku 5 hela ndog san yaan nawapromotia app yao afu iwe bure how comes..