Kumdai boyfriend ni vibaya?

Kumdai boyfriend ni vibaya?

Dah umenikumbusha mbaliiiii, hilo ni kosa ambalo sitakuja kulifanya tena kwenye maisha yangu 'KUMKOPESHA PESA BOYFRIEND'!!!! . Hata wewe nakushauri usije kulifanya kosa la aina hiyo tena, MWIKOOOO!!!!. Nikirudi kwenye mada yako una haki zote za kumdai X-wako hela ulizomkopesha, kwa sababu mlikubaliana kwamba takurudishia. Tatizo linalokuja ni kwamba hakuna ushahidi wowote/ mtu aliyeshuhudia wakati ukimpa hizo hela, hivyo inakuwa ngumu. Sikulaumu kwa nn hamkuandikishiana, nafahamu mwanamke anapokuwa kwenye mapenzi huwa tunawaamini sana wapenzi wetu kwa kiwango ambacho utafikiri uko kwenye mahusiano na malaika kumbe ni MAGUMEGUME yetu haya yasiyojua kupendwa. Yaani hao watu hawana maana yoyote, unatakiwa uishi nao kama mgeni aliyekuja mara moja kesho anarudi kwake.

Ili uendelee kuwa na amani na kwa kuwa ameanza kuwatumia wanawake wakutukane anaonekana sio mstaarabu. Achana naye hautapungukiwa na kitu. Halafu Mwanaume anayejitambua huwa hakopi kwa girlfriend wake hata siku moja hapo umeingia kwenye choo cha shimo kilichajaa. Yaani siku hizi hakuna wanaume jamani, mpaka mnafikia hatua ya kutapeli vijisenti vya wanawake, Tumekwisha! teh teh teh.

Achana naye, mlilie Mungu wako atakupa nyingine. Hela ya mtu haiendi hivi hivi. Atakufa kifo kibaya.
 
Hii mijanamke ya wapi?unampa mwanaume atm card yako ili iweje?mie hajui hata nina kiasi gani bank namtoa out twala twanywa thats all sijawahi mpa hata buku5 my money is mine haimuhusu
 
  • Thanks
Reactions: amu
Hii mijanamke ya wapi?unampa mwanaume atm card yako ili iweje?mie hajui hata nina kiasi gani bank namtoa out twala twanywa thats all sijawahi mpa hata buku5 my money is mine haimuhusu

ya hapa hapa town nikiwe!! kupenda tu na kuamini kuwa unamsaidia mtu wako unayempenda kwa dhati..

you know sometimes kwenye mahusiano unamwamini mtu sana sasa kwa trust hiyo uliyonayo kwske inakufanya uone material things are nothing...

lol..thooose daaaaysss!!! salaleee..
 
Last edited by a moderator:
Thats being stupid never trust a man
ya hapa hapa town nikiwe!! kupenda tu na kuamini kuwa unamsaidia mtu wako unayempenda kwa dhati..

you know sometimes kwenye mahusiano unamwamini mtu sana sasa kwa trust hiyo uliyonayo kwske inakufanya uone material things are nothing...

lol..thooose daaaaysss!!! salaleee..
 
Last edited by a moderator:
hahaaaa. mzabzab inategemea na level ya upendo wa bidada kwako..hatutoi tuuu...

hahaha mnatoa bwana...nyie tena mlivyo na roho za huruma. tena ukitaka upate hakikisha unamuomba wakati ulishampa mtalimbo wakutosha alafu mmepumzika just cuddling...lazima akubali
 
ahahaaa tunakabidhi atm na pwd kabisa

tean patamu ulishampiga bao kama tatu kalegea yupo juu ya kifua feeling all happy and romantic...mwanaume sii ndio huyu basi kidume unachomekezea lol
 
pole mamito, hata mie yalishanikuta tena asivyo kuwa na haya haya majitu ka siku mbili kaja nimkope hukuhata ile hakunirudishia, siku nyingine usije jaribu bora iyo hela mpemama ako anunue mboga, hawa madog hawana shukrani kabisa, nawachukia saaaaaaaaaaaaaaaaaaaana pumba..fu
 
pole mwaya hata mie yalishanikuta mtoto wa kike nilizurumiwa ivi ivi na najiona bt nilimwachia mungu na nilimdharau coz ni mtu mwenye kazi nzuri na ana uwezo wa kulipa iyo hela, usije rudia tena bora uwape ndugu zako,hawa madog, pumba..u ni shobo tu
 
Mmeumia kweli, nyi mbona mwala vya watu? Usipokuwa tayari kuliwa kidogo nawe hulii, sa unataka kula tu bila kuliwaa? Haiwezekanii. (sina maana hiyooo)
 
mimi nina principle moja katika maisha yangu....
iwe kwa bf, x, ndugu, jamaa, rafiki, jirani.........
ukija kukopa kwangu sh.30,000/ nafanya kwanza mahesabu ya maumivu just in case hujanilipa. nikiona maumivu yatakuwa makubwa basi naangalia hapo naweza kukupa ngapi. kama ni sh. 10,000 basi nitakupa hiyo, na sitakuambia kuwa nimekupa, utabaki unajua nimekukopesha. ukirudisha napokea, usiporudisha basi unakuwa umejitoa mwenyewe kwenye list ya watu wa kuja kunikopa next time.
Furahatuu.... siku nyingine ukipata bf akaja kuomba kukopa mkopeshe kiasi ambacho akisepa nacho hakitakufanya uanzishe thread, sawa?
 
Back
Top Bottom