Kumdai boyfriend ni vibaya?

Kumdai boyfriend ni vibaya?

Mpotezee c muungwana huyo....!Ila umwambie kuwa umesamehe.
 
teh teh hao ndo wanaume bwanaa we unajibana unasema unamsaidia ili mambo yakae muishi vizuri mwenzako anamipango mingine.
Hiyo 25% kaitumia mwenzio ndo mjifunze kila siku hamkui mi siwekezi kwa mwanaume wala sichangi nae.
Yeye ndo awekeze kwangu afterall yeye ndo mwanaume.
So isamehe tu by the way hela inatafutwa utapata i;la ndo ujifunze mwanaume anayekulala si kaka yako si ndugu si babako mzazi
 
The Boss yaani kama ulikuwa umeingia mawazoni mwangu.........Haha nway mdada pole ila ni fundisho kwako na kwetu pia.

Hivi naomba niulize mbona wenzetu wanaume huwa wanajua toka mwanzo kama huyu demu ni wa kuzugia tu na kutuliza kiu na sio wa future? Inakuwaje sie wanawake tushindwe kulitambua toka mwanzo? Ina maana sie tunapoingia kwenye mahusiano tunaingia kichwa kichwa tu.
 
Dah umenikumbusha mbaliiiii, hilo ni kosa ambalo sitakuja kulifanya tena kwenye maisha yangu 'KUMKOPESHA PESA BOYFRIEND'!!!! . Hata wewe nakushauri usije kulifanya kosa la aina hiyo tena, MWIKOOOO!!!!. Nikirudi kwenye mada yako una haki zote za kumdai X-wako hela ulizomkopesha, kwa sababu mlikubaliana kwamba takurudishia. Tatizo linalokuja ni kwamba hakuna ushahidi wowote/ mtu aliyeshuhudia wakati ukimpa hizo hela, hivyo inakuwa ngumu. Sikulaumu kwa nn hamkuandikishiana, nafahamu mwanamke anapokuwa kwenye mapenzi huwa tunawaamini sana wapenzi wetu kwa kiwango ambacho utafikiri uko kwenye mahusiano na malaika kumbe ni MAGUMEGUME yetu haya yasiyojua kupendwa. Yaani hao watu hawana maana yoyote, unatakiwa uishi nao kama mgeni aliyekuja mara moja kesho anarudi kwake.

Ili uendelee kuwa na amani na kwa kuwa ameanza kuwatumia wanawake wakutukane anaonekana sio mstaarabu. Achana naye hautapungukiwa na kitu. Halafu Mwanaume anayejitambua huwa hakopi kwa girlfriend wake hata siku moja hapo umeingia kwenye choo cha shimo kilichajaa. Yaani siku hizi hakuna wanaume jamani, mpaka mnafikia hatua ya kutapeli vijisenti vya wanawake, Tumekwisha! teh teh teh.
madameA i can still feel the pain n hatred in ur posts...sijui ninini kilikutokea. Pole sana...
 
Last edited by a moderator:
The Boss yaani kama ulikuwa umeingia mawazoni mwangu.........Haha nway mdada pole ila ni fundisho kwako na kwetu pia.

Hivi naomba niulize mbona wenzetu wanaume huwa wanajua toka mwanzo kama huyu demu ni wa kuzugia tu na kutuliza kiu na sio wa future? Inakuwaje sie wanawake tushindwe kulitambua toka mwanzo? Ina maana sie tunapoingia kwenye mahusiano tunaingia kichwa kichwa tu.

MwanajamiiOne mioyo ya watu ni kiza kinene sana! huwezi jua kama hujapitia na kuexperience hii kitu.. uuuh imenikumbusha those days nilipokuwa foolish natumia hela zangu eti tufungue biz kumbe jamaa kicheche balaa..lol tena hela zenyewe zilikuwa za shikamoo..

mpotezee tu huyo haina sababu ya kuumiza roho yako.utapata tu zingine...
 
Last edited by a moderator:
MwanajamiiOne mioyo ya watu ni kiza kinene sana! huwezi jua kama hujapitia na kuexperience hii kitu.. uuuh imenikumbusha those days nilipokuwa foolish natumia hela zangu eti tufungue biz kumbe jamaa kicheche balaa..lol tena hela zenyewe zilikuwa za shikamoo..

mpotezee tu huyo haina sababu ya kuumiza roho yako.utapata tu zingine...
Little Angel..... mamii nimeuliza tu sio kwamba sijapitia mie ndo nilikuwa mjiiiiinga wa mwisho yaani hadi ATM cards nilikabidhisha kwa hiari. Ndo bado najiuliza why sikuwa nimelitambua tokea mwanzo?

Ni kweli usemayo alisamehe tu kwani hata akiamua kumpeleka kwenye vyombo vya sheria bado awezaambiwa kuwa mlipeana katika mazingira ya mapenzi nendeni mkalipane katika mazingira hayo hayo............... si bora hata yeye aliambulia hiyo 75%!!
 
Last edited by a moderator:
Kwa mazingira hayo una haki ya kudai na kama amefanya hivyo malipo sawa na alivyokufanyia atayapata hapahapa duniani, wewe muombee tu kwa MUNGU na wewe utalipwa tu haki yako.
 
Little Angel..... mamii nimeuliza tu sio kwamba sijapitia mie ndo nilikuwa mjiiiiinga wa mwisho yaani hadi ATM cards nilikabidhisha kwa hiari. Ndo bado najiuliza why sikuwa nimelitambua tokea mwanzo?

Ni kweli usemayo alisamehe tu kwani hata akiamua kumpeleka kwenye vyombo vya sheria bado awezaambiwa kuwa mlipeana katika mazingira ya mapenzi nendeni mkalipane katika mazingira hayo hayo............... si bora hata yeye aliambulia hiyo 75%!!

ok nimekupata my dear..yaani ww ulikua kama mm..nilirudishiwa ATM card ina balance ya sh 2000/- uuwii jamani mh.acha tu..mtu yule alinilostisha sana sipati kusema...
 
Last edited by a moderator:
Little Angel..... mamii nimeuliza tu sio kwamba sijapitia mie ndo nilikuwa mjiiiiinga wa mwisho yaani hadi ATM cards nilikabidhisha kwa hiari. Ndo bado najiuliza why sikuwa nimelitambua tokea mwanzo?

Ni kweli usemayo alisamehe tu kwani hata akiamua kumpeleka kwenye vyombo vya sheria bado awezaambiwa kuwa mlipeana katika mazingira ya mapenzi nendeni mkalipane katika mazingira hayo hayo............... si bora hata yeye aliambulia hiyo 75%!!

ok nimekupata my dear..yaani ww ulikua kama mm..nilirudishiwa ATM card ina balance ya sh 2000/- uuwii jamani mh.acha tu..mtu yule alinilostisha sana sipati kusema...
 
Last edited by a moderator:
Hizo hesabu umezirudisha anazo kuhongaga.
 
duh kumbs mtalimbo unawafanya bidada hadi watoe hela hivyo...ngona nijikamatia dada huruma
 
afu mumiii huyo wako c mwanaume ni jianaume, if the money isnt worthy that much u can live it beside and never give a damn on it, keep go on u will be blessed more than that
 
Back
Top Bottom