Uchaguzi 2020 Kumchagua Tundu Lissu kuwa Rais ni kuikabidhi Tanzania kwa Mabeberu. Tusifanye kosa twende na John Pombe Magufuli

Mimi mwenywe hapa village kwangu ni beberu. Wewe na hao wenzio kama ni majike semeni tuje huko mliko.
Lissu hafai kuwa Rais wa nchi hii, Ubunge ndio ilikuwa level yake ya juu na ya mwisho.

Kumbukeni alikuwa kwenye matibabu huko ughaibuni mara alipopata nafuu, kazi yake ilikuwa kuzungumza mambo ya hovyo sana, kutaka nchi iwekewe vikwazo, kukubali kuruhusu ndoa za jinsia moja, alifanya mambo ya fedheha sana

Wazungu walimsikiliza wakaona huyu ni bogus kabisa, ndio maana pamoja na kelele zake na maombi yake hayakuwa na impact yoyote.

Mtaji aliobakia nao kwa sasa ni kupata kura za huruma kwa risasi zilizompata

Pia system haiwezi kukabidhi nchi kwa mtu anayetetea mapenzi ya jinsia moja na msaliti kwa taifa lake,si mnakumbuka vitisho vyake na MIGA?,yako wapi?,tumeunda kampuni ya Twiga minerals Tanzania kwa ubia ambao unalinufaisha taifa, kongole Rais Magufuli.

Namuonea huruma sana, kwa maana baada ya uchaguzi atapotea kwenye ulingo wa siasa, kiki hazitakuwepo , Bunge ndio lilikuwa linampa kiki, miaka mitano sio mchezo kukaa benchi
 
Lissu hafai kuwa Rais wa nchi hii, Ubunge ndio ilikuwa level yake ya juu na ya mwisho.

Kumbukeni alikuwa kwenye matibabu huko ughaibuni mara alipopata nafuu, kazi yake ilikuwa kuzungumza mambo ya hovyo sana, kutaka nchi iwekewe vikwazo, kukubali kuruhusu ndoa za jinsia moja, alifanya mambo ya fedheha sana

Wazungu walimsikiliza wakaona huyu ni bogus kabisa, ndio maana pamoja na kelele zake na maombi yake hayakuwa na impact yoyote.

Mtaji aliobakia nao kwa sasa ni kupata kura za huruma kwa risasi zilizompata

Pia system haiwezi kukabidhi nchi kwa mtu anayetetea mapenzi ya jinsia moja na msaliti kwa taifa lake,si mnakumbuka vitisho vyake na MIGA?,yako wapi?,tumeunda kampuni ya Twiga minerals Tanzania kwa ubia ambao unalinufaisha taifa, kongole Rais Magufuli.

Namuonea huruma sana, kwa maana baada ya uchaguzi atapotea kwenye ulingo wa siasa, kiki hazitakuwepo , Bunge ndio lilikuwa linampa kiki, miaka mitano sio mchezo kukaa benchi
Hizi ndizo nyuzi wanazozitaka mods kwa sasa, utaona sinakuwe juu hata mwezi
 
Lissu hafai kuwa Rais wa nchi hii, Ubunge ndio ilikuwa level yake ya juu na ya mwisho.

Kumbukeni alikuwa kwenye matibabu huko ughaibuni mara alipopata nafuu, kazi yake ilikuwa kuzungumza mambo ya hovyo sana, kutaka nchi iwekewe vikwazo, kukubali kuruhusu ndoa za jinsia moja, alifanya mambo ya fedheha sana

Wazungu walimsikiliza wakaona huyu ni bogus kabisa, ndio maana pamoja na kelele zake na maombi yake hayakuwa na impact yoyote.

Mtaji aliobakia nao kwa sasa ni kupata kura za huruma kwa risasi zilizompata

Pia system haiwezi kukabidhi nchi kwa mtu anayetetea mapenzi ya jinsia moja na msaliti kwa taifa lake,si mnakumbuka vitisho vyake na MIGA?,yako wapi?,tumeunda kampuni ya Twiga minerals Tanzania kwa ubia ambao unalinufaisha taifa, kongole Rais Magufuli.

Namuonea huruma sana, kwa maana baada ya uchaguzi atapotea kwenye ulingo wa siasa, kiki hazitakuwepo , Bunge ndio lilikuwa linampa kiki, miaka mitano sio mchezo kukaa benchi
Jisemee ww tulio wengi tunaenda TL
 
Lissu hafai kuwa Rais wa nchi hii, Ubunge ndio ilikuwa level yake ya juu na ya mwisho.

Kumbukeni alikuwa kwenye matibabu huko ughaibuni mara alipopata nafuu, kazi yake ilikuwa kuzungumza mambo ya hovyo sana, kutaka nchi iwekewe vikwazo, kukubali kuruhusu ndoa za jinsia moja, alifanya mambo ya fedheha sana

Wazungu walimsikiliza wakaona huyu ni bogus kabisa, ndio maana pamoja na kelele zake na maombi yake hayakuwa na impact yoyote.

Mtaji aliobakia nao kwa sasa ni kupata kura za huruma kwa risasi zilizompata

Pia system haiwezi kukabidhi nchi kwa mtu anayetetea mapenzi ya jinsia moja na msaliti kwa taifa lake,si mnakumbuka vitisho vyake na MIGA?,yako wapi?,tumeunda kampuni ya Twiga minerals Tanzania kwa ubia ambao unalinufaisha taifa, kongole Rais Magufuli.

Namuonea huruma sana, kwa maana baada ya uchaguzi atapotea kwenye ulingo wa siasa, kiki hazitakuwepo , Bunge ndio lilikuwa linampa kiki, miaka mitano sio mchezo kukaa benchi
Miaka 3 yuko kitandani hafanyi siasa,kashindwa kupotea.Apotee now makamo mwenyekiti CHADEMA?
 
Hatutaki mtu anayetetea Lesbians ,arudi hukohuko alipokuwa
Utakuwa u miongoni mwa wajinga! Zipo taarifa za kiutafiti kwamba katika kipindi cha kuanzia mwishoni mwa 2015 hadi mwaka jana kumekuwepo na ongezeko kubwa la wajinga! CHANZO: EATV
 
Anafaa, hafai, hana uwezo nataka mabadiliko.
One democratic party ruling for 60 years dah total Bullshit
 
Hatutaki mtu anayetetea Lesbians ,arudi hukohuko alipokuwa
Yaani namchukia mtu yeyote anayeisema serekali kinyume. Hao kina James na wenzake tulio nao leo tuseme waliletwa humu na huyo Lissu?? Acheni kuonesha ati serekali yetu haifanyi kazi atii. Nenda Zenji ukajichagulie shoga mchana peupe, nenda Tanga au ukitaka Shamba fresh nenda Tukuyu sasa hao wameletwa huku na Lissu?? Mnyonge tumnyonge lakini haki apewe. Leta mziki mwingine sio huu
 
Jiulize kwanza Mh Lissu ilikuaje akawa huko Ughaibuni kwa matibabu?? Ukiweza kushirikisha ubongo wako sawasawa basi jibu utakalopata litatosho kuonyesha ulichoandika ni "upupu mtupu"
 
CCM tulieni demokrasia ifanyike nchi tumekosa demokrasia kwa miaka mingi. Yule tishio la jiwe amerudi na watanzania wanamkubali kuliko hapo mwanzo, hii ni mipango ya Mungu, jiwe walilolikataa waashi limekuwa jiwe kuu la pembeni. Siasa anazofanya magu ni za kibabe na kidikteta kamwe hazikubaliki, tupo na Tundu Antipas Lissu mwaka huu.
Bora wasingelimmiminia zile mvua walishindwa kumpuuza ona sasa amekuja kivingine
 
Lissu hafai kuwa Rais wa nchi hii, Ubunge ndio ilikuwa level yake ya juu na ya mwisho.

Kumbukeni alikuwa kwenye matibabu huko ughaibuni mara alipopata nafuu, kazi yake ilikuwa kuzungumza mambo ya hovyo sana, kutaka nchi iwekewe vikwazo, kukubali kuruhusu ndoa za jinsia moja, pindi akiwa mtawala , na ifahamike ni kinyume na mila na desturi zetu nchini ,alifanya mambo ya fedheha sana.

Wazungu walimsikiliza wakaona huyu ni bogus kabisa, ndio maana pamoja na kelele zake na maombi yake hayakuwa na impact yoyote.

Mtaji aliobakia nao kwa sasa ni kupata kura za huruma kwa risasi zilizompata

Pia system haiwezi kukabidhi nchi kwa mtu anayetetea mapenzi ya jinsia moja na msaliti kwa taifa lake,si mnakumbuka vitisho vyake na MIGA?,yako wapi?,tumeunda kampuni ya Twiga minerals Tanzania kwa ubia ambao unalinufaisha taifa, kongole Rais Magufuli.

Namuonea huruma sana, kwa maana baada ya uchaguzi atapotea kwenye ulingo wa siasa, kiki hazitakuwepo , Bunge ndio lilikuwa linampa kiki, miaka mitano sio mchezo kukaa benchi
UnaUngumzia mabeberu Wapi....Hawa walio tupa Uchumi wa Kati au!?
 
Lissu hafai kuwa Rais wa nchi hii, Ubunge ndio ilikuwa level yake ya juu na ya mwisho.

Kumbukeni alikuwa kwenye matibabu huko ughaibuni mara alipopata nafuu, kazi yake ilikuwa kuzungumza mambo ya hovyo sana, kutaka nchi iwekewe vikwazo, kukubali kuruhusu ndoa za jinsia moja, pindi akiwa mtawala , na ifahamike ni kinyume na mila na desturi zetu nchini ,alifanya mambo ya fedheha sana.

Wazungu walimsikiliza wakaona huyu hamna kitu, ndio maana pamoja na kelele zake na maombi yake hayakuwa na impact yoyote.

Mtaji aliobakia nao kwa sasa ni kupata kura za huruma kwa risasi zilizompata

Pia system haiwezi kukabidhi nchi kwa mtu anayetetea mapenzi ya jinsia moja na msaliti kwa taifa lake,si mnakumbuka vitisho vyake na MIGA?,yako wapi?,tumeunda kampuni ya Twiga minerals Tanzania kwa ubia ambao unalinufaisha taifa, kongole Rais Magufuli.

Namuonea huruma sana, kwa maana baada ya uchaguzi atapotea kwenye ulingo wa siasa, kiki hazitakuwepo , Bunge ndio lilikuwa linampa kiki, miaka mitano sio mchezo kukaa benchi
Mchana mnawaita mabeberu halafu usiku mnawapigia magoti kuwaomba noti. Mnatia hasira sana nyie
 
Ni kawaida mbuzi jike kumuogopa beberu
Lissu hafai kuwa Rais wa nchi hii, Ubunge ndio ilikuwa level yake ya juu na ya mwisho.

Kumbukeni alikuwa kwenye matibabu huko ughaibuni mara alipopata nafuu, kazi yake ilikuwa kuzungumza mambo ya hovyo sana, kutaka nchi iwekewe vikwazo, kukubali kuruhusu ndoa za jinsia moja, pindi akiwa mtawala , na ifahamike ni kinyume na mila na desturi zetu nchini ,alifanya mambo ya fedheha sana.

Wazungu walimsikiliza wakaona huyu ni bogus kabisa, ndio maana pamoja na kelele zake na maombi yake hayakuwa na impact yoyote.

Mtaji aliobakia nao kwa sasa ni kupata kura za huruma kwa risasi zilizompata

Pia system haiwezi kukabidhi nchi kwa mtu anayetetea mapenzi ya jinsia moja na msaliti kwa taifa lake,si mnakumbuka vitisho vyake na MIGA?,yako wapi?,tumeunda kampuni ya Twiga minerals Tanzania kwa ubia ambao unalinufaisha taifa, kongole Rais Magufuli.

Namuonea huruma sana, kwa maana baada ya uchaguzi atapotea kwenye ulingo wa siasa, kiki hazitakuwepo , Bunge ndio lilikuwa linampa kiki, miaka mitano sio mchezo kukaa benchi
 
Alizarau watumishi wa umma atajielezaje?
Kwa.taarifa yako watumishi wa umma wote walikwisha ongezwa mpunga kimyakimya kitambo sana ,kalagha bhaho wewe kapuku,ndio maana huwa wapo kimya na hakuna migomo ,kadhalika wanafunzi wa vyuo vikuu kuhusiana na mikopo
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom