mwananyaso
JF-Expert Member
- Feb 19, 2017
- 2,843
- 3,128
- Thread starter
- #21
Mtashindana.lakini hamtashinda,mpeni kura nyie mnaohusudu mapenzi ya jinsia mojaTumechoka kuongozwa na mbaguzi, muda wote kuonea watu.lissu kura za ukoo wangu wote nampa
Mtashindana.lakini hamtashinda,mpeni kura nyie mnaohusudu mapenzi ya jinsia mojaTumechoka kuongozwa na mbaguzi, muda wote kuonea watu.lissu kura za ukoo wangu wote nampa
Tumechoka kuongozwa na mbaguzi, muda wote kuonea watu.lissu kura za ukoo wangu wote nampa
Bora tuwape nchi mabeberu, kuna siku tutayachinja tule nyama!Lissu hafai kuwa rais wa nchi hii,ubunge ndio ilikuwa level yake ya juu na ya mwisho.
Kumbukeni alikuwa kwenye matibabu huko ughaibuni ,mara alipopata nafuu,kazi yake ilikuwa kuzungumza mambo ya hovyo sana ,kutaka nchi iwekewe vikwazo,kukubali kuruhusu ndoa za jinsia moja,alifanya mambo.ya fedheha sana ,wazungu walimsikiliza wakaona huyu.ni bogus kabisa,ndio maana pamoja na kelele zake na.maombi yake hakuwa na impact yoyote.
Mtaji aliobakia nao kwa sasa ni kupata kura za huruma kwa risasi zilizompta
Pia system haiwezi kukabidhi nchi kwa mtu anayetetea mapenzi ya jinsia moja na msaliti,
Namuonea huruma sana, kwa maana baada ya uchaguzi atapotea kwenye ulingo wa siasa ,kiki hazitakuwepo na bunge ndio lilikuwa linampa kiki,,miaka mitano sio mchezo
Naona taarabu zinabadilika Lumumba kila baada ya hatua 1 ya kamanda TAL.Lissu hafai kuwa rais wa nchi hii,ubunge ndio ilikuwa level yake ya juu na ya mwisho.
Kumbukeni alikuwa kwenye matibabu huko ughaibuni ,mara alipopata nafuu,kazi yake ilikuwa kuzungumza mambo ya hovyo sana ,kutaka nchi iwekewe vikwazo,kukubali kuruhusu ndoa za jinsia moja,alifanya mambo.ya fedheha sana ,wazungu walimsikiliza wakaona huyu.ni bogus kabisa,ndio maana pamoja na kelele zake na.maombi yake hakuwa na impact yoyote.
Mtaji aliobakia nao kwa sasa ni kupata kura za huruma kwa risasi zilizompta
Pia system haiwezi kukabidhi nchi kwa mtu anayetetea mapenzi ya jinsia moja na msaliti,
Namuonea huruma sana, kwa maana baada ya uchaguzi atapotea kwenye ulingo wa siasa ,kiki hazitakuwepo na bunge ndio lilikuwa linampa kiki,,miaka mitano sio mchezo
Wamepoteana balaaa hivi kumbe lisu anawakimbiza balaaHahaha Leo Lumumba hali si hali. Mnahamisha tu magoli. Na jiandaeni tu kumkabidhi nchi mwana wa Singida, mtoto wa Ilboru, Tundu Antipas Lissu
Mabeberu hata Leo kwa magu wakitaka chochote wanafanya walimuondoa gadafi sembuse na huku wee vpLissu hafai kuwa rais wa nchi hii,ubunge ndio ilikuwa level yake ya juu na ya mwisho.
Kumbukeni alikuwa kwenye matibabu huko ughaibuni ,mara alipopata nafuu,kazi yake ilikuwa kuzungumza mambo ya hovyo sana ,kutaka nchi iwekewe vikwazo,kukubali kuruhusu ndoa za jinsia moja,alifanya mambo.ya fedheha sana ,wazungu walimsikiliza wakaona huyu.ni bogus kabisa,ndio maana pamoja na kelele zake na.maombi yake hakuwa na impact yoyote.
Mtaji aliobakia nao kwa sasa ni kupata kura za huruma kwa risasi zilizompta
Pia system haiwezi kukabidhi nchi kwa mtu anayetetea mapenzi ya jinsia moja na msaliti,
Namuonea huruma sana, kwa maana baada ya uchaguzi atapotea kwenye ulingo wa siasa ,kiki hazitakuwepo na bunge ndio lilikuwa linampa kiki,,miaka mitano sio mchezo
Hivi kwa nn lisu wanamuogopa sana nakumbuka jk alikuwa anamuogopa asishinde hata ubunge alisema ni bora lipumba awe rais lakini lisu wasimpe ubungeUmelalamika tu.
Kama Nyerere aliongoza nchi mwl kijana 39 yrs. Na alionyesha mafanikio, Mwinyi na diploma ya ualimu lakini alitupa ruksa, Mkapa toka uandishi mpaka Rais alieacha impact . Kikwete na democracy ya Kiswahili lakini alimaliza salama. Na sasa tunae Mwl mwingine tena wa sayansi lakini hajashindwa.
Ndiyo aje ashindwe advocate msomi anayetaka nchi iongozwe kwa sheria na katiba ?!
Lissu yuko vizuri kuliko team ilioko uwanjani saa hii. Hata wewe unajua. Labda figisu tu. Na ndiyo keshasema hatamuachia Mungu . Mnalo
Ikisimama pandaLissu hafai kuwa rais wa nchi hii,ubunge ndio ilikuwa level yake ya juu na ya mwisho.
Kumbukeni alikuwa kwenye matibabu huko ughaibuni ,mara alipopata nafuu,kazi yake ilikuwa kuzungumza mambo ya hovyo sana ,kutaka nchi iwekewe vikwazo,kukubali kuruhusu ndoa za jinsia moja,alifanya mambo.ya fedheha sana ,wazungu walimsikiliza wakaona huyu.ni bogus kabisa,ndio maana pamoja na kelele zake na.maombi yake hakuwa na impact yoyote.
Mtaji aliobakia nao kwa sasa ni kupata kura za huruma kwa risasi zilizompta
Pia system haiwezi kukabidhi nchi kwa mtu anayetetea mapenzi ya jinsia moja na msaliti,
Namuonea huruma sana, kwa maana baada ya uchaguzi atapotea kwenye ulingo wa siasa ,kiki hazitakuwepo na bunge ndio lilikuwa linampa kiki,,miaka mitano sio mchezo
Kwanza tuna wish nchi irudi kwenye utawala wa mkoloni mweupe kuliko mkoloni mweusi mwenzetu wa LumumbaMabeberu wakitaka hata sasa hivi nchi hii uongoze wewe inawezekana kwa 100%.
Umma utaamua, Huyo mbaguzi mpeni wana Lumumba, Sie tusio na vyama tunakwenda na mzalendo lissu asiye mbaguziMtashindana.lakini hamtashinda,mpeni kura nyie mnaohusudu mapenzi ya jinsia moja
Ukimchukia mtu anayekuzidi uwezo wa kichwa . Hakukufanyi wewe kuwa na akili. Lissu yuko smart labda figisu .Hivi kwa nn lisu wanamuogopa sana nakumbuka jk alikuwa anamuogopa asishinde hata ubunge alisema ni bora lipumba awe rais lakini lisu wasimpe ubunge
Mitano kwa Jiwe INATOSHA.Lissu hafai kuwa rais wa nchi hii,ubunge ndio ilikuwa level yake ya juu na ya mwisho.
Kumbukeni alikuwa kwenye matibabu huko ughaibuni ,mara alipopata nafuu,kazi yake ilikuwa kuzungumza mambo ya hovyo sana ,kutaka nchi iwekewe vikwazo,kukubali kuruhusu ndoa za jinsia moja,alifanya mambo.ya fedheha sana ,wazungu walimsikiliza wakaona huyu.ni bogus kabisa,ndio maana pamoja na kelele zake na.maombi yake hakuwa na impact yoyote.
Mtaji aliobakia nao kwa sasa ni kupata kura za huruma kwa risasi zilizompta
Pia system haiwezi kukabidhi nchi kwa mtu anayetetea mapenzi ya jinsia moja na msaliti,
Namuonea huruma sana, kwa maana baada ya uchaguzi atapotea kwenye ulingo wa siasa ,kiki hazitakuwepo na bunge ndio lilikuwa linampa kiki,,miaka mitano sio mchezo
Hofu imewajaa tayari!Lissu hafai kuwa rais wa nchi hii,ubunge ndio ilikuwa level yake ya juu na ya mwisho.
Kumbukeni alikuwa kwenye matibabu huko ughaibuni ,mara alipopata nafuu,kazi yake ilikuwa kuzungumza mambo ya hovyo sana ,kutaka nchi iwekewe vikwazo,kukubali kuruhusu ndoa za jinsia moja,alifanya mambo.ya fedheha sana ,wazungu walimsikiliza wakaona huyu.ni bogus kabisa,ndio maana pamoja na kelele zake na.maombi yake hakuwa na impact yoyote.
Mtaji aliobakia nao kwa sasa ni kupata kura za huruma kwa risasi zilizompta
Pia system haiwezi kukabidhi nchi kwa mtu anayetetea mapenzi ya jinsia moja na msaliti,
Namuonea huruma sana, kwa maana baada ya uchaguzi atapotea kwenye ulingo wa siasa ,kiki hazitakuwepo na bunge ndio lilikuwa linampa kiki,,miaka mitano sio mchezo
Walioiingiza nchi hii chaka la mikataba mibovu ndiyo vibaraka not Lissu . Hili mnalijua halafu mnajifanya kutoona ukweli .
Ccm, ni afadhali hao unaowaita mabeberu kuliko wauaji na watesaji wa WaTz .
Rubbish of its kindLissu hafai kuwa rais wa nchi hii,ubunge ndio ilikuwa level yake ya juu na ya mwisho.
Kumbukeni alikuwa kwenye matibabu huko ughaibuni ,mara alipopata nafuu,kazi yake ilikuwa kuzungumza mambo ya hovyo sana ,kutaka nchi iwekewe vikwazo,kukubali kuruhusu ndoa za jinsia moja,alifanya mambo.ya fedheha sana ,wazungu walimsikiliza wakaona huyu.ni bogus kabisa,ndio maana pamoja na kelele zake na.maombi yake hakuwa na impact yoyote.
Mtaji aliobakia nao kwa sasa ni kupata kura za huruma kwa risasi zilizompta
Pia system haiwezi kukabidhi nchi kwa mtu anayetetea mapenzi ya jinsia moja na msaliti,
Namuonea huruma sana, kwa maana baada ya uchaguzi atapotea kwenye ulingo wa siasa ,kiki hazitakuwepo na bunge ndio lilikuwa linampa kiki,,miaka mitano sio mchezo
Mkuu watanzania tunachokitaka ni maisha mazuri na Uhuru wetu.Hiyo reli ya Kati unayoiona wakati huo inajengwa it was new technology to us same way ilivyo kwa SGR,lakini mkoloni alisepa,Huo ushamba wenu wa vitu pelekeni karomije,Kama beberu anaweza kutupa maisha mazuri na Uhuru wetu why not?Tena ningekuwa napanda kwenye majukwaa ningewaonesha watanzania Mambo makubwa yanayofanywa na beberu hadi hivi tunavyoongeaLissu hafai kuwa rais wa nchi hii,ubunge ndio ilikuwa level yake ya juu na ya mwisho.
Kumbukeni alikuwa kwenye matibabu huko ughaibuni ,mara alipopata nafuu,kazi yake ilikuwa kuzungumza mambo ya hovyo sana ,kutaka nchi iwekewe vikwazo,kukubali kuruhusu ndoa za jinsia moja,alifanya mambo.ya fedheha sana ,wazungu walimsikiliza wakaona huyu.ni bogus kabisa,ndio maana pamoja na kelele zake na.maombi yake hakuwa na impact yoyote.
Mtaji aliobakia nao kwa sasa ni kupata kura za huruma kwa risasi zilizompta
Pia system haiwezi kukabidhi nchi kwa mtu anayetetea mapenzi ya jinsia moja na msaliti,
Namuonea huruma sana, kwa maana baada ya uchaguzi atapotea kwenye ulingo wa siasa ,kiki hazitakuwepo na bunge ndio lilikuwa linampa kiki,,miaka mitano sio mchezo