Lady Whistledown
JF-Expert Member
- Aug 2, 2021
- 1,024
- 1,611
Siku ya Leo Watanzania Duniani Kote wanaungana kuadhimisha Kumbukumbu ya Miaka 23 ya Kifo cha aliyekuwa Rais Wa Kwanza wa Tanganyika na Baadaye Tanzania, Mwalimu Julius K. Nyerere
Mwalimu Nyerere anaenziwa kwa mengi ikiwemo Falsafa yake ya Elimu ya Kujitegemea, Rushwa ni adui na Haki, Muungano wa Kitaifa pamoja na Umahiri, Ujasiri na Busara zake katika Kuongoza harakati za Uhuru wa Tanganyika kutoka kwa Waingereza Mwaka 1961
Mwalimu Nyerere anaenziwa kwa mengi ikiwemo Falsafa yake ya Elimu ya Kujitegemea, Rushwa ni adui na Haki, Muungano wa Kitaifa pamoja na Umahiri, Ujasiri na Busara zake katika Kuongoza harakati za Uhuru wa Tanganyika kutoka kwa Waingereza Mwaka 1961