Kumbukumbu ya kifo cha Michael Jackson

MJ! Kama binadamu tungekua tunaishi milele, I wish MJ to be the last man to fall! I will join you in Heaven MJ!
 
Michael Jackson hajafa, anaishi na ndio maana anajadiliwa!!!
 
Hizo habari za freemason uzushi tu, ni documentary zilizoandaliwa na mtu kama wewe, na ukichunguza sana utaona chuki binafsi.

Unataka kuniambia kila mtu aliefanikiwa kimziki, kisoka, kibiashara nk, ni freemason. Hapana nakataa sababu ni kipaji cha mtu, juhudi na bidii. Na hao waliotengeneza documentary utagundua wana wivu/chuki na wenzao waliofanikiwa, zile clip tofauti tofauti wanazichukua wanazitengenezea maelezo. Kwa mfano pale MJ aliposema "MOTTOLA is a devil" hakumaanisha kama walivyotafsiri waliotengeneza documentary. Pale mfano useme labda mtu fulani shetani, haina maana ni shetani kweli, pale kwa matendo yake mfano mtu mlaghai, mwizi, tapeli unaweza mwita shetani kutokana na ubaradhuli wake lakini si shetani kweli. Na MJ alilalamika kutokana na kukandamizwa kwenye malipo kwa kulinganisha na kazi aliyoifanya alipokuwa chini ya MOTTOLA ambae ameingizia kampuni yake pesa nyingi sana. Na ndio maana baada ya kuachana na MOTTOLA alifanya sana kampeni wasanii weusi washikamane kupigania haki zao sababu wananyonywa sana kimaslahi.

Na ukiangalia wale jamaa wa ATL waliotengeneza ile documentary wanasumbuliwa na wivu ndio maana wamejitahidi sana kumpamba PIMP C(ambaye kifo chake kilikuwa cha utata) na DEVI CHAPPELE ambao kwa wao wanadai hao wawili hawakuwa freemason, na kuwaponda wengine waliofanikiwa hasa wa kutoka NY kwa kudai ni freemason
 
kabisa mkuu unakuta hadi ubungo eti kuna bango kwaajili ya kujiunga na ufreemason
 
Mkiwataka Freemason nendeni White sands hotel mtawakuta wanakutana wiki hizi mbili zote
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…