Ni kweli mkuu hizi songi nimezijua sababu ya mshua aliporudi kutoka majuu miaka ya 90 akaja nazo nyingi. Ndio mana nazijua sana songi za wakali wa zamani
Hana mpinzani na haitotokea kama yeye kwa kweli ni mfalme wa Pop.Cheza yake tu ni unique..surual zake modal flan ivi...yupo flexible ktk uchezaji..
akiweka na sauti yake full burudan
Ni vzur kama una kumbukumbu zake
Leo ni miaka mitano tokea mfalme wa pop afariki dunia....unamkumbuka kwa yapi....
1.Mwanamuziki wa kwanza mweusi kuingia ikulu ya marekani
2.Mgonjwa wa vitiligo maarufu zaidi(ugonjwa wa ngozi unaofanya ngozi kuwa nyeupe kwa madoa makubwa..hakujichubua)
3.mwanamuziki mwenye mafanikio zaidi
4.Mweusi wa kwanza mwanamuziki kutokea katika coverpage za magazeti makubwa Marekani
5 mwanamuzi aliyetoa misaada mingi zaidi..over 300 million dollarz.....
6.Mwanamuziki wa kwanza mweusi video yake kuchezwa katika channel za weupe..mfano Mtv..nyimbo Billie jean
hebu weka na yako...
Leo ni miaka mitano tokea mfalme wa pop afariki dunia....unamkumbuka kwa yapi....
1.Mwanamuziki wa kwanza mweusi kuingia ikulu ya marekani
2.Mgonjwa wa vitiligo maarufu zaidi(ugonjwa wa ngozi unaofanya ngozi kuwa nyeupe kwa madoa makubwa..hakujichubua)
3.mwanamuziki mwenye mafanikio zaidi
4.Mweusi wa kwanza mwanamuziki kutokea katika coverpage za magazeti makubwa Marekani
5 mwanamuzi aliyetoa misaada mingi zaidi..over 300 million dollarz.....
6.Mwanamuziki wa kwanza mweusi video yake kuchezwa katika channel za weupe..mfano Mtv..nyimbo Billie jean
hebu weka na yako...
Michael Jackson was all that and a bag of chips, lakini unapoandikia watu wazima wanaofuatilia mambo kuwa makini.
Kina Sammy Davis na Harry Belafonte (do you even know who these people are?) walishatinga White House tangu enzi za Kennedy wakati kabla Michael Jackson hajatoka Gary, Indiana bado.
Kina Louis Armstrong wamefanya vitu vikubwa kabla Michael Jackson hajazaliwa.
luis armstrong ni mwanamuziki???....unafahamu michael alienda ikulu kufanya nn na kwasababu gani???
kama hutaki kukubali mchango wa michael katika muziki kawaulize kwann guness book of records walimuweka mbele ya kina elvis presley, mbele ya the beatles kama mwanamuziki mwenye mafanikio zaidi duniani, bob marley alikuwa mwanamuziki mkali ila hakuwahi kuunite muziki wa watu weusi na watu weupe hadi umauti unamkuta mwanzoni mwa miaka ya 80,,, Michael peke yake alikuja kufanya mapinduzi hayo yote kupitia album ya thriller,, nadhani umeelewa mkuu kuhusu hilo, hakuna mwanamuziki aliyetamba na maarufu zaidi ya michael jackson toke kuumbwa kwa dunia hii,,,,,,waweza ukatafuta source zako
sijui kwa nn nikisikiliza nyimbo za MJ nalia!
sijui alikuwa anatunga huku anamenya vitunguu?!
Alikuja bongo hakushuka kwenye ndege eti hewa ya Tanzania ni mbaya
sijui kwa nn nikisikiliza nyimbo za MJ nalia!
sijui alikuwa anatunga huku anamenya vitunguu?!