Slim5
JF-Expert Member
- Jan 7, 2014
- 28,108
- 37,643
Ibrahim Rajab Juma "JEBA" Mchezaji wa Zamani wa AZAM FC, Mtibwa FC na Chuoni FC aliefariki 18-9-2019 Unguja, Zanzibar!
JEBA pia aliwahi kuchezea timu ya Taifa ya Vijana. Jeba aliingia AZAM FC mwaka 2008 akiwa na kizazi cha Mudathir Yahya Abbas, kiungo fundi wa AZAM FC na National team.
Jeba amechezea Azam FC U14, U17 na U20 kuanzia 2008 na baadae akarudi nyumbano Unguja Kuchezea CHUONI kabla ya kuchukuliwa na Mtibwa 2014 - 2017!
Kutoka Mtibwa, Marehemu JEBA akarudi Unguja kwa hoja anahitaji kuwa karibu na familia!
Muda huu AZAM FC na Mtibwa FC wanacheza mechi ya hisani ktk uwanja wa AMANI, Mapato yote yataenda kwa familia yake baada ya kuondoa makato!
Katika mechi hii wachezaji wote wa AZAM FC wamevaa jezi namba 38 wakati wale wa Mtibwa wamevaa namba 22, zikiwa ni namba alizotumia marehemu JEBA wkt akihudumu ktk vilabu hivyo!
Ibrahim Rajab Juma "JEBA" Alizaliwa mwaka 1990!
RIP Jeba
JEBA pia aliwahi kuchezea timu ya Taifa ya Vijana. Jeba aliingia AZAM FC mwaka 2008 akiwa na kizazi cha Mudathir Yahya Abbas, kiungo fundi wa AZAM FC na National team.
Jeba amechezea Azam FC U14, U17 na U20 kuanzia 2008 na baadae akarudi nyumbano Unguja Kuchezea CHUONI kabla ya kuchukuliwa na Mtibwa 2014 - 2017!
Kutoka Mtibwa, Marehemu JEBA akarudi Unguja kwa hoja anahitaji kuwa karibu na familia!
Muda huu AZAM FC na Mtibwa FC wanacheza mechi ya hisani ktk uwanja wa AMANI, Mapato yote yataenda kwa familia yake baada ya kuondoa makato!
Katika mechi hii wachezaji wote wa AZAM FC wamevaa jezi namba 38 wakati wale wa Mtibwa wamevaa namba 22, zikiwa ni namba alizotumia marehemu JEBA wkt akihudumu ktk vilabu hivyo!
Ibrahim Rajab Juma "JEBA" Alizaliwa mwaka 1990!
RIP Jeba