Vifo vya maaskari wetu trh 8 Dec huko Congo yamenifanya nikumbuke matumizi ya alama za taifa kwa lengo la maombelezo ya pamoja kama Taifa,nimetafakari kwa muda mrefu sijaona bendera ya Taifa kupandishwa nusu mlingoti ktk mjanga kama haya.Kweli jamani hata hili la vifo vya maafande wetu huko Congo?Najiuliza au ulikuwa utamaduni wa kimagharibi?kwamba hautufai tena.