Kama unaandika ww binafsi kwenda kwenye taasisi no need ya kuandika kumbukumbu namba coz kama taasisi ikijibu barua yako itatumia tarehe uliyoandika kwenye barua yako kama reference (kumbukumbu no.) so usiumize kivhwa kuandika kumbukumbu just make sure Barua yako inatarehe kama miongozo ya kuandika barua inavyosema.
Inasaidie......kumpa taarifa ...msomaji wa barua yakoo....ajue kama umewahi tuma barua hapo mwanzoo....
Kwa ufupi....
....kumbu kumbu namba inamsaidia msomaji wakoo kurejerea barua yako ya awalii.....
Inasaidie......kumpa taarifa ...msomaji wa barua yakoo....ajue kama umewahi tuma barua hapo mwanzoo....
Kwa ufupi....
....kumbu kumbu namba inamsaidia msomaji wakoo kurejerea barua yako ya awalii.....