PROF MUDI DULA
Member
- Oct 29, 2012
- 86
- 4
Haya, leo taja kumbukumbu ya tukio kongwe kuikumbuka katika maisha yako, katika utoto wako.
Namaanisha, ni tukio ambalo hukumbuki tena tukio lengine kabla ya hilo. Usisahau kuandika angalau kwa kukadiria, muda huo ulikuwa na umri gani.
Namaanisha, ni tukio ambalo hukumbuki tena tukio lengine kabla ya hilo. Usisahau kuandika angalau kwa kukadiria, muda huo ulikuwa na umri gani.