detective mfaume
Member
- Dec 23, 2016
- 31
- 69
Ni kumbukizi ya miaka 23 toka Osama Bin Laden chini ya kundi la Al-Qaeda kulipua balozi mbili za Marekani nchini Tanzania na Kenya, akishirikiana na kundi dogo kutoka Misri.
Hili ndilo tukio lililomleta Osama katika Uso wa dunia kama mtu hatari zaidi
Hili ndilo tukio lililomleta Osama katika Uso wa dunia kama mtu hatari zaidi