Kumbukizi ya miaka 59 toka Said Mwamwindi amuue RC Dkt. Kleruu siku kama ya leo mwaka 1971

Ujamaa ndio umetufikisha hapa kama taifa,kua masikini na omba omba na kufanya vijana kukimbia vijiji vyao na kujazana mijini
Why?
Kabla ya ujamaa Kulikua na wakulima wa large scale plantation wakimiliki mashamba makubwa Sana ya uzalishaji
Mfano ya Mzee baba Mwamwindi ,
Na Watu enzi hizo walikua wakiishi Kwenye mashamba makubwa ya ukoo yaliyojitosheleza Kwa chakula na biashara pia,kile kitendo Cha kuwatoa Kwa Nguvu Kwenye base zao na kuwarundika Kwenye vijiji vya ujamaa ulikua ni uwendawazimu wa kiwango kikubwa Sana
Note: Usingekua ujamaa Leo tungekua na Mabepari weusi kibao wanaomiliki uchumi mkubwa Sana na ingeongeza hamasa Kwa vijana kuanzisha mashamba ya kisasa kabisa imagine miaka ya 60's huko kina Mwamwindi wanamiliki maekari ya mashamba,majumba,matrekta nk
je wasingepokwa miaka ile Leo familia zao zingekua na ukwasi wa kiasi Gani?
Kuna wapuuzi wanamuita Nyerere baba wa taifa.

Upuusi mtupu.
 
Mimi nimejifunza the following : Kwanza nimeshangaa mno kwa msomi wa PhD wa enzi hizo kufanya kazi kwa mihemuko na emotions. Imagine unaenda kwa wakulima na kuwaambia mna mashamba makubwa hivyo mnatakiwa kuwapa wengine, just like that!! Yaani hujali kabisa investment ya mtu aliyofanya kwenye hayo mashamba yake. RC anaambiwa kwa nini hao wananchi msiwape mapori wayafyeke wenyewe kama sisi maana mapori ni mengi tuu badala ya kutupora mashamba yetu tuliyohenyeka? But unfortunately RC hataki kabisa kuwaelewa wananchi wake. Sasa unashindwa kuelewa elimu yake ilikuwa na faida gani. Pili nimejifunza kumbe hii kitu ya raia kuchukuliwa na vyombo vya dola na kwenda kufichwa kusikojulikana kwa ndugu zao kumeanza zamani Sana daaah.
... very sad Kaka! PhD yenyewe kasomea Marekani but exposure zero! Sometimes, huyu ni aina ya watu wanaopenda sana kujipendekeza ila bado unajiuliza kwa miaka ile PhD Tanzania zilikuwa za kuhesabu mno; unajipendekeza ili iweje? Popote duniani angefanya kazi.
 
MAAJABU,
WW KATIKA UZI ZOTE HUWA UNAPINGA MAUAJI HAIJALISHI SABABU KULIKONI?
Kwa sababu nachukia uvivu na wanaopromote uvivu, hasa kampuni za betting na hizo sera za kijamaa, yaani wengine wasafishe mapori we uje ulime tu, na mapori bado yamejaa, kwanini wasiende kusafisha?
 
Mimi nimejifunza the following : Kwanza nimeshangaa mno kwa msomi wa PhD wa enzi hizo kufanya kazi kwa mihemuko na emotions. Imagine unaenda kwa wakulima na kuwaambia mna mashamba makubwa hivyo mnatakiwa kuwapa wengine, just like that!! Yaani hujali kabisa investment ya mtu aliyofanya kwenye hayo mashamba yake. RC anaambiwa kwa nini hao wananchi msiwape mapori wayafyeke wenyewe kama sisi maana mapori ni mengi tuu badala ya kutupora mashamba yetu tuliyohenyeka? But unfortunately RC hataki kabisa kuwaelewa wananchi wake. Sasa unashindwa kuelewa elimu yake ilikuwa na faida gani. Pili nimejifunza kumbe hii kitu ya raia kuchukuliwa na vyombo vya dola na kwenda kufichwa kusikojulikana kwa ndugu zao kumeanza zamani Sana daaah.
Namimi toka mwanzo ndio nimeuliza, ni kwanini hiyo hoja haikujibiwa, yaani kwanini upore mashamba waliyovuja jasho wengine wakati mapori bado yamejaa, kwanini msiwape hao wengine mapori ili na wao wakahenyeke kung’oa visiki? Why?!
 
Kwahiyo unachotaka kusema hapa nini?

Kwamba lilikuwa ni jukumu la Nyerere ku-introduce market economy kwa wakati huo ?

Maana unamlaumu Nyerere kwa sera yake ya ujamaa na wakati huo huo unazungumzia mfumo ambao haukuwepo nyakati hizo.
Sio kwamba alikua ni jukumu lake kuintroduce. Huu mfumo ndio ulikuepo kabla ya azimio la arusha. Azimio la Arusha lilikuja kuvuruga Huu mfumo kabisa.



Yani katika vitu baba wataifa alifanikiwa kwa hali ya juu ni kutengeneza hili jinamizi la propaganda. Yani hapa alifaulu kweli kweli. Mpaka Leo linatutesa. Yani sarikali imejaa uongo uongo tu. Katika kila 10 inayosema we shika moja tu.
 
Dhulma na chuki dhidi ya Matajiri imeanza kitambo sana


1) Unaenda kupora mashamba ya watu binafsi kugeuza ya Umma wakati kuna mapori mengi tu ambayo ungeweza kuyalima na kugeuza ya Umma

2)Kuua kaua Mwamwindi unaenda kupora Majumba ya Rafiki zake Mwamindi ili iweje kama si kuwakomoa

3) 7th April, 1972 kule Kisiwandui alitokea 'Mwamindi' mwingine japo Story ikageuzwa geuzwa eti Wapinga mapinduzi

Mkuu huwa nakukubali, embu siku moja tuletee hiyo ya kisiwandui
 
Sio kwamba alikua ni jukumu lake kuintroduce. Huu mfumo ndio ulikuepo kabla ya azimio la arusha. Azimio la Arusha lilikuja kuvuruga Huu mfumo kabisa.
Kwa wakati huo ni nchi gani ilikuwa inatumia mfumo huo wa market economy ?
Yani katika vitu baba wataifa alifanikiwa kwa hali ya juu ni kutengeneza hili jinamizi la propaganda. Yani hapa alifaulu kweli kweli. Mpaka Leo linatutesa. Yani sarikali imejaa uongo uongo tu. Katika kila 10 inayosema we shika moja tu.
Hapa siwezi kuongea maana tutakesha kwasababu ukimzungumzia Nyerere, Misikitini wana stori zao, uchaggani wana stori zao, wahaya wana stori zao na Zanzibar wana stori zao.

Lakini madai mengi mwenye akili timamu na anaewajua hawa watu anajua kabisa yalihusu nini.
 
Kwa sababu nachukia uvivu na wanaopromote uvivu, hasa kampuni za betting na hizo sera za kijamaa, yaani wengine wasafishe mapori we uje ulime tu, na mapori bado yamejaa, kwanini wasiende kusafisha?
KWenye Uzi wa scorpion ulipinga vikali kuhusu kujichukulia Sheria mkononi.
Nashangaa kwenye huu Uzi umekuwa mbogo dhidi ya wajamaa wa kale.
 
Kwa wakati huo ni nchi gani ilikuwa inatumia mfumo huo wa market economy ?

Hapa siwezi kuongea maana tutakesha kwasababu ukimzungumzia Nyerere, Misikitini wana stori zao, uchaggani wana stori zao, wahaya wana stori zao na Zanzibar wana stori zao.

Lakini madai mengi mwenye akili timamu na anaewajua hawa watu anajua kabisa yalihusu nini.
WE MKARUKA UNAONEKANA NI MJAMAA MVIVU USIYEPENDA KUJITAFUTIA VYAKO NA UNATAKA WATU WOTE WAWE MASKINI KAMA WEWE.
 
Kuna kitu najaribu kuwaza kwa sauti...
Hivi hii sera ya ujamaa chini ya nyerere et al si ndio ilitaifisha mali za watu binafsi na kuzigeuza kuwa za chama cha mapinduzi?
Kwa kisingizio kuwa ni za "serikali" . By the way mali nyingi za ccm ni za dhulma sana
 
WE MKARUKA UNAONEKANA NI MJAMAA MVIVU USIYEPENDA KUJITAFUTIA VYAKO NA UNATAKA WATU WOTE WAWE MASKINI KAMA WEWE.
Wewe jamaa inaonekana una akili ngumu sana.

Hivi kwanini ninyi wajinga mnadhani ukizungumzia ujamaa basi unazungumzia watu kufanya sehemu moja?

Tatizo mmemezanstori za vijiweni kuhusu Ujamaa basi ujamaa kwenu mnaona ni jambo baya kwa 100%.

Hata Marekani leo Republican na wafuasi wao wanawatuhumu Democratic kufanya ujamaa Marekani.

Jaribuni hata kufikiria hata kwa kiasi.
 
... very sad Kaka! PhD yenyewe kasomea Marekani but exposure zero! Sometimes, huyu ni aina ya watu wanaopenda sana kujipendekeza ila bado unajiuliza kwa miaka ile PhD Tanzania zilikuwa za kuhesabu mno; unajipendekeza ili iweje? Popote duniani angefanya kazi.

UCLA ya wakati huo ilikuwa moja ya fertile recruiting grounds za wakomunisti.
 
Wewe jamaa inaonekana una akili ngumu sana.

Hivi kwanini ninyi wajinga mnadhani ukizungumzia ujamaa basi unazungumzia watu kufanya sehemu moja?

Tatizo mmemezanstori za vijiweni kuhusu Ujamaa basi ujamaa kwenu mnaona ni jambo baya kwa 100%.

Hata Marekani leo Republican na wafuasi wao wanawatuhumu Democratic kufanya ujamaa Marekani.

Jaribuni hata kufikiria hata kwa kiasi.s

Wewe jamaa inaonekana una akili ngumu sana.

Hivi kwanini ninyi wajinga mnadhani ukizungumzia ujamaa basi unazungumzia watu kufanya sehemu moja?

Tatizo mmemezanstori za vijiweni kuhusu Ujamaa basi ujamaa kwenu mnaona ni jambo baya kwa 100%.

Hata Marekani leo Republican na wafuasi wao wanawatuhumu Democratic kufanya ujamaa Marekani.

Jaribuni hata kufikiria hata kwa kiasi.
Ujamaa ni sera ovu hasa na ni mbaya kwa watu wenye juhudi.
 
Back
Top Bottom