Kumbukizi; Kifo cha Marijani Rajab

Kumbukizi; Kifo cha Marijani Rajab

Mshana Jr

Platinum Member
Joined
Aug 19, 2012
Posts
359,959
Reaction score
828,674
Alizaliwa Machi, alikufa Machi na kuzikwa Machi.
Kaburi la Marijani Rajabu katika makaburi ya Kisutu jijini Dar es Salaam. Leo ni miaka 30 kamili tangu afariki.`Pumzika kwa amani King rajab.
1742865540631.jpg
 
Akiwa na bendi ya Safari Trippers miaka ya 70 kabla hajaicha na kwenda kuanzisha bendi ya Dar international 1976, anakumbukwa kwa nyimbo za,Georgina,Rosa nenda shule na Mkuki Moyoni.
 
Alizaliwa Machi, alikufa Machi na kuzikwa Machi.
Kaburi la Marijani Rajabu katika makaburi ya Kisutu jijini Dar es Salaam. Leo ni miaka 30 kamili tangu afariki.`Pumzika kwa amani King rajab.View attachment 3282396

Kwa namna ya pekee kabisa namkubali sana Marijani Rajabu. Nikiwa mdogo kuna nyimbo mbili zilinikaa sana akilini. Ajali ya Mpenzi Zuwena na Salama.....
 
Back
Top Bottom