Kumbukizi: Dkt. Samia - yanayosemwa sasa ni stress za urais 2025 na 2030

Kumbukizi: Dkt. Samia - yanayosemwa sasa ni stress za urais 2025 na 2030

KIJICHO PEVU

Member
Joined
May 4, 2024
Posts
69
Reaction score
49
Profesa wa siasa Samia Suluhu Hassan aliyaona haya mapema.

Hapa Rais Samia Suluhu Hassan alikuwa akipokea taarifa ya utekelezaji wa Mpango wa Maendeleo kwa Ustawi wa Taifa na Mapambano dhidi ya UVIKO - 19 tarehe 04 Januari, 2022 Ikulu, Jijini Dar es Salaam.

 
DKT. SAMIA - YANAYOSEMWA SASA NI STRESS ZA URAIS 2025 NA 2030

Profesa wa siasa Samia Suluhu Hassan aliyaona haya mapema kuwa wenye tamaa ya Urais 2025 na 2030 wataongea kila kitu ili kuzishibisha tamaa zao za Urais.
#OKTOBATUNATIKI✅✅
#TUNAKWENDANASAMIAOKTOBA🇹🇿
CHAWA mnapitia wakati mgumu sana kuuza biashara isiyo hitajika sokoni.
 
Mshika muhimili,ndugai,kwa akina cassim..wote yamewakuta
 
DKT. SAMIA - YANAYOSEMWA SASA NI STRESS ZA URAIS 2025 NA 2030

Profesa wa siasa Samia Suluhu Hassan aliyaona haya mapema kuwa wenye tamaa ya Urais 2025 na 2030 wataongea kila kitu ili kuzishibisha tamaa zao za Urais.
#OKTOBATUNATIKI✅✅
#TUNAKWENDANASAMIAOKTOBA🇹🇿
Kwani ukiwa wewe Rais wengine lazima wasigombee au wasikupinge uozo? Fungua nafasi mgombee pamoja achaguliwe anayefaa. Sioni logic hapo ati mtu kutaka kugombea kiti chako basi ni adui.
 
Kwani toka wakati wa Mwinyi kulikuwa na mwingei au huwa anpita miaka mitano ya pili leo kumekuwa hafai kwa kuwa anatoka Zanzibar au vipi
 
Back
Top Bottom