Kumbe Watutsi ni Jews?

Status
Not open for further replies.

you are not a great thinker!
 
Wana JF,

Muwe makini na hizi threads. Kuna watu wengine hapa nia yao ni kuchochea uhasama baina ya nchi hizi mbili. Such threads should be ignored because hazina hadhi ya forum hii.
 
Mkuu haya mambo ya kuthibitisha kisayansi ndio tunataka, sio porojo - well done.
 

Ukitaka ngonjera zaidi....wao na Wamasai yasemekana ni kikosi kimoja cha Siza (Caesar) kilichopotea jangwani. Wataalamu walisoma mfumo wa jinsi wanavyopigana na tabia nyingine nyingine (kama kujiona) na wakatoa study hiyo.
 

Neno "Tutsi" lina ladha ya Ki-Cushit kama vile Waethiopia......ukiwasikiliza Waethiopia wanavyozungumza wana maneno mengi yanayogandamanisha 'ts' (ni uchunguzi wangu binafsi).
 
ukiona watu wanaongea sana ujue wanaogopana , wanaume huwa hawaongei sana kama vip tz na rwanda zipigwe:fencing: japo wiki moja tu tone nani atakuwa na manundu:boxing: mengi zaidi ya mwenzie coz tumechoka mipasho yenu kila siku. refa kenya :horn:na mshika kibendera uganda:tea: na burundi :majani7: . hay nasema "hajimiiiii ....hayooooo... "
 
Waache kujikomba, eti wanafanana na Jews! Waambieni waende Israel sasa, waone watakavyovurumishwa, chezea yahud wewe.
 
Ukiona mtu anakana kabila lake basi ujue bado mtumwa!!
 

WAONGO WAKUBWA..

Watasema kila kitu.. wabantu wale wa misitu ya kongo...
 
They better remain silent hawafananii na waliobarikiwa kwa matendo yao, waone wenzao jinsi walivyobadili Israel kutoka jangwa mpaka nchi ya asali, america, wamegundua vitu vingi, sio wakorofi mpaka wachokozwe wana akili umoja sio ubaguzi wanaweza kufanya makuu i.e Six days war. Wao ni bantus tu. Hata sio waethiopia wote ni Jews maana walikuwepo hata kbala ya Isarel ni wajukuu wa kwanza wa nuhu, same as caninites na philistians.
 

Your story is fabricated no one has told you that, you have your own agenda of discrediting the Tutsis due to your own reasons, there is no way anyone can claim such a rubbish. Try another lie.
 

Land for your information Tutsis are not in Rwanda only, they are also in TZ among the Hangaza and subi people in Kagera, they among the Ha of Kigoma, they are among all tribes that surround great lake region, in fact it is not a tribe but a way of life unfortunately it has been wrongly identified as tribe.
 
Kwani ukiwa myahudi ndo we mtawala tu, i hate this notion, mi ni mwiragw lakini i don't believe kuwa we have something very special kama watu wengine wanavyodhani, kote nilikokuwa nasoma sikuona tofauti yangu na mchaga, msukuma au yoyote yule na nitabaki kumheshimu kila mtu. In respect to tutsi hawana jipya la kujiona kuwa wao wamebarikiwa zaidi kuliko wengine.
 

Ngoja tumuulize mmoja wao yumo humu! Huyu mtutsi ana majina kama mvua! Ngoja tujaribu mawili MaxShimba au Aswad Band
 
Last edited by a moderator:
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…