Leo hawalali wee subiri
Jr
Abunuwasi aliwahi kujipata ana Nywele nyingi kichwani. Alihitaji kwenda saloon. Akampata mtoto mwenye nywele nyingi mtaani. Akamshika mkono kwenda nae saloon. Kule saloon wa kwanza kunyoa akawa Abunuasi. Alipomalizwa kunyoa akaondoka. Mtoto nae akanyolewa. Alipomalizwa akaulizwa kaenda wapi babako! Mtoto akajibu yule sio Babangu. Kanikuta mtaani akanambia twende tukanyoe saloon!
Ila jamani we una vitukoMie hadi leo nikiona kengele nabonyeza tu kisha huyoo
Mie hadi leo nikiona kengele nabonyeza tu kisha huyoo
Ukisogea mbele kidogo ya hapo alipokua utaukuta mtaa wa maandazi nyuma ya huo mtaa Ni ma gheto ya Dada utamuMaelezo yako kaka Mshana bado sijaona USWAZI UMEHUSIKAJE..!!
Uncle run.Umechukua comedy ya Wa Nigeria umeleta huku
Angetakiwa apigwe risasi ya kifuasinywi Chai isiyo na tangawaizi
We sema hii kama ya Emmanuella wakati wengine tumefanya sana hii michezo miaka ya 90's.mbona kama ya emanuella hii?!!!!!
sipati picha hiko kichurachura ambacho mngerushwa kama mngekamatwaWe sema hii kama ya Emmanuella wakati wengine tumefanya sana hii michezo miaka ya 90's.
Nakumbuka wengine tulifika mbali mpaka kupiga simu polisi au kitengo cha zimamoto kupitia zile phone box za barabarani za TTCL kuwa kuna nyumba inaungua au ajari imetokea sehemu fulani alafu tunakaa sehemu kuskilizia king'ora😂😂😂
Utoto bhana haha.. It was kind of amusement😊😊
Ndo treand tayari etHuwezi kuamini kilichonikuta mchana tuu..bado binafsi siamini kama nimeweza kuingizwa chaka na vitoto vidogo ambavyo vinaweza kuwa vijukuu vyangu...
Niko mitaa ya Mikocheni nyuma ya Tanesco nilikuwa mpitanjia kuingia mtaa wa pili..sio mwenyeji kivile..nimejikuta naibukia mtaa wa madon lakini huruma zangu kidogo ziniponze.
Nimekuta vitoto vitatu kwenye geti la nyumba ya maana vinajitahidi kurukia kengele ya getini..basi nikajua wana uhitaji na wenye nyumba nikasema ngoja niwasaidie.
Ile kusogea tu wakakaa pembeni..nikaamini nachukua point 3 muhimu za upendo nikanyoosha kono langu na kubonyeza kengele ..nikasikia inaita...kugeuka nione furaha na shukrani kwa wahitaji,kwa mshangao na tarahuki nikawaona wanakimbia ..mmoja akasema wee hapo sio kwetu..
Natamani ungeniona hatua nilizoondoka nazo hapo... Watoto wa uswazi wa uswazi wapuuzi sana
Jr