Rohombaya
JF-Expert Member
- Jul 4, 2011
- 13,080
- 10,437
Nimeshangaa sana,
Zaidi ya nusu ya vijana wa bodaboda waliokuwa wakipeperusha bendera ya CDM huku wakirandaranda mitaani leo wanafanya hivyohivyo huku wakiwa na bendera ya ccm.
Kina dada wote kwenye hii bar ya jirani waliokuwa wanashinda na vilemba na mitandio yenye rangi ya cdm hata wakati wajua kali, leo ndiyo hawa wanakata mauno hapa wakiwa na nguo zenye rangi za ccm!!
Huyu mangi jirani yangu ambaye kila ukienda dukani kwake haachi kukukumbusha juu ya mabadiliko leo anasema kidogo tupotee njia!!!
Watu wa hovyo sana hawa!!
Zaidi ya nusu ya vijana wa bodaboda waliokuwa wakipeperusha bendera ya CDM huku wakirandaranda mitaani leo wanafanya hivyohivyo huku wakiwa na bendera ya ccm.
Kina dada wote kwenye hii bar ya jirani waliokuwa wanashinda na vilemba na mitandio yenye rangi ya cdm hata wakati wajua kali, leo ndiyo hawa wanakata mauno hapa wakiwa na nguo zenye rangi za ccm!!
Huyu mangi jirani yangu ambaye kila ukienda dukani kwake haachi kukukumbusha juu ya mabadiliko leo anasema kidogo tupotee njia!!!
Watu wa hovyo sana hawa!!