Kumbe watanzania watu wa hovyo hivi!

Kumbe watanzania watu wa hovyo hivi!

Rohombaya

JF-Expert Member
Joined
Jul 4, 2011
Posts
13,080
Reaction score
10,437
Nimeshangaa sana,
Zaidi ya nusu ya vijana wa bodaboda waliokuwa wakipeperusha bendera ya CDM huku wakirandaranda mitaani leo wanafanya hivyohivyo huku wakiwa na bendera ya ccm.
Kina dada wote kwenye hii bar ya jirani waliokuwa wanashinda na vilemba na mitandio yenye rangi ya cdm hata wakati wajua kali, leo ndiyo hawa wanakata mauno hapa wakiwa na nguo zenye rangi za ccm!!
Huyu mangi jirani yangu ambaye kila ukienda dukani kwake haachi kukukumbusha juu ya mabadiliko leo anasema kidogo tupotee njia!!!
Watu wa hovyo sana hawa!!
 
Ndio siasa za mihemuko....Unafuata upepo unakoelekea wakati huo!!
 
Watanzania ni watu wafuata upepo, ndo maana ccm walikuwa wanaweka wasanii kwenye mikutao yao, wanajaza watu kwelikweli
 
Watanganyika ni wa hovyo sana. Bora Wazanzibari mara 100..!!
Kuanzia leo na kuendelea natangaza kuwadharau Watanganyika wote...!!!
 
Nimeshangaa sana,
Zaidi ya nusu ya vijana wa bodaboda waliokuwa wakipeperusha bendera ya CDM huku wakirandaranda mitaani leo wanafanya hivyohivyo huku wakiwa na bendera ya ccm.
Kina dada wote kwenye hii bar ya jirani waliokuwa wanashinda na vilemba na mitandio yenye rangi ya cdm hata wakati wajua kali, leo ndiyo hawa wanakata mauno hapa wakiwa na nguo zenye rangi za ccm!!
Huyu mangi jirani yangu ambaye kila ukienda dukani kwake haachi kukukumbusha juu ya mabadiliko leo anasema kidogo tupotee njia!!!
Watu wa hovyo sana hawa!!

Ndio walivyo......pumba sana
 
Tatizo kubwa ni umaskini wa kipato, watu walikuwa wanapewa sh elf tano akamchague mgombea wa CCM! na pia wengi hawana elimu, yaani watu hawaelewi matatizo yao huwa yanasababishwa na nani, yaani wengi bado sana hata hivyo upinzani umewaamsha wengi kujitambua
 
Watanganyika ni wa hovyo sana. Bora Wazanzibari mara 100..!!
Kuanzia leo na kuendelea natangaza kuwadharau Watanganyika wote...!!!
Wabara huwez walinganisha na wazanzibar kwa elimu ya siasa hata siku moja, Anglia MBUNGE anachafuliwa kwa kura 5000 je hiyo ni mitaa mingapi hapo dar au kwingineko, diwani kwa kura 8, je hiyo ni mitaa mingapi kwa bara na isitoshe kila jimbo visiwani lina wabunge 2
 
wabongo ni wanafiki sana, wapemba pekee ndo watu wakweli nchi hii
 
Nimeshangaa sana,
Zaidi ya nusu ya vijana wa bodaboda waliokuwa wakipeperusha bendera ya CDM huku wakirandaranda mitaani leo wanafanya hivyohivyo huku wakiwa na bendera ya ccm.
Kina dada wote kwenye hii bar ya jirani waliokuwa wanashinda na vilemba na mitandio yenye rangi ya cdm hata wakati wajua kali, leo ndiyo hawa wanakata mauno hapa wakiwa na nguo zenye rangi za ccm!!
Huyu mangi jirani yangu ambaye kila ukienda dukani kwake haachi kukukumbusha juu ya mabadiliko leo anasema kidogo tupotee njia!!!
Watu wa hovyo sana hawa!!
mkuu kwenye red nimecheka mpaka mbavu zinauma!
 
watanganyika ni wa hovyo sana. Bora wazanzibari mara 100..!!
Kuanzia leo na kuendelea natangaza kuwadharau watanganyika wote...!!!

mkuu, mimi siyo sehemu yao, tangu mfumo wa vyama vingi siyo kata wala jimbo limewahi kwenda ccm
 
Wewe ni mwongo......

Jamaa muongo sana, yaani huku mtaani watu wengi ni kama wako kwenye msiba, na wengi wamekata tamaa kabisa ya kupiga kura tena, maishani mwao!! Wanasema bila kupatikana tume huru ya uchaguzi, bora pasiwe na uchaguzi tu, iwe kama china wawe wanapokezana tu wao kuliko kusumbua watu.
 
DSM ni maombolezo ,kaulizwa mama mmoja hapa azam two unajisikiaje ushindi wa magu-kasema sina furaha kabisa na amechukizwa kasema magu hakuchaguliwa na wengine baadhi ya waliohojiwa wamejibu hivyo
 
Back
Top Bottom