Nimejaribu kufatilia kwa wanawake wengi wote kwa makibila yote kumbe formula yao ya kulala ni moja chali!!haya mengine ni mautundu lakini for the first time lazima ananza kulalia mgongo mpaka hapo baadae umwambie to another style!!
Yani hii style ni common na akuna wakubisha anayebisha basi huyo analake jambo kwani hii style imewekwa kwenye chip ya kutambua (Microprocessor) ya binadamu tangu anazaliwa wakati unaanza hii shughuli style ni hiyohiyo!!
Kweli bro, Hata mimi kwenye ndoa yangu huu mwaka wa 10 sasa huwa staili ni hiyo tu, Lakini maisha yanaenda, upendo kwa sana tu. Ila siku ninazoibia nje ya ndoa staili huwa tofauti kabisa na kifo cha mende!. Ni madoido ya kila namna. Ninapoyafanya haya manjonjo home, mwenzangu wala hayapendi. Hivyo hii mada ina kaukweli kwa sana.
Sio kweli hata kidogo, inategemea na mazingira pamoja na wahusika wenyewe, wewe unataka kuniambia kama mmeanzia mambo yenu bafuni basi atalala kwa mgongo. Wewe hujaonaga wewe shauri yako.:glasses-nerdy:
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.