Kwa hio unataka kumlipa nae kwa kutomsainia from ya likizo?!! Duh!!
Hii ni hatari kiuongozi.
Waruhusu watu wasocialize ni moja ya njia ya kuimalisha mahusiano mazuri katika staff
Utakua mnoko sana pole kwa staff wako
Mbona iko wazi... mfuate PM. Kashajiweka wazi,, single.Hii mada inatufundisha nini sasa walimu wengine bana.
Tena pole kubwa.Utakua mnoko sana pole kwa staff wako
What are you trying to insinuate???Mwalimu huenda shuleni
Mwanafunzi huenda shuleni
Mwalimu husimama mstarini
Mwanafunzi husimama mstarini
Mwalimu huingia darasani
Mwanafunzi huingia darasani
Mwalimu husimama darasani
Mwanafunzi hukaa darasani
Mwalimu huandika notes
Mwanafunzi huandika notes
Mwalimu hula wakati wa mapumziko
Mwanafunzi hula wakati wa mapumziko
Mwalimu huenda nyumbani akisikia kengele
Mwanafunzi vivo hivyo.
Kumbe kuna fursa, no wonder injinia alijiengua.Mbona iko wazi... mfuate PM. Kashajiweka wazi,, single.
Tafsiri unavyowezaWhat are you trying to insinuate???
eti mwenyewe anakuja tumuunge mkono hapa, natamani ningekuwa mwalimu halafu ktk stuff wake, ningempa vitasa hadi adondoshe ufizi na meno yakeinaonekana na ww ni miongoni mwa wakuu wanoko na wakola mashuleni. kuna mmoja kama ww ilibaki kdg tu nimshushi kosovo la nguvu ofcn kwake tukiwa wawili tu .
Elewa kuwa na ww ndali anakusaka kwa kuzolotesha elim nchni. Huwezi kuwanyima watu uhuru wa kusocialize kwa gharama zao na mbaya zaidi et usimsainie mtumishi barua ya rikizo kisa kakuchana ukweli!!!!! shame on you madam!!