kumbe wahindi nao wanatutamani

Kumbuka hao unaowalia pesa ipo siku watakusaka na kukufanyia kitu mbaya!
Bse kama huna haja ya kugawa then na ela zao usipokee,kupokea ni dalili ya kukubali kugawa mzigo.
wewe hujawai kuliwa hela sema kweli
 
thax babu kwa maoni yako ndoo maana nakupenda
wewe ni great thinker wa ukweli
lakini sijawai kuona wakiwa na mahusiano na watu weusi labda kwa siri
so sikutegemea kama muhindi anaweza kunitangazia nia

mimi nna ndugu zangu wameoa wahindi kwa ndoa.....ni sehemu ya familia
nina cousins wahindi......

wahindi wanaabudu pesa tu
kama wewe baba yako angekuwa ndo mwenye makampuni hayo ya madini na ujenzi
hao wahindi wanakuletea posa na harusi inafungwa trust me....nimesoma na wahindi
primary mpaka high school nawajua....
 
Mimi nakwambia wale pesa yao, si wamezitoa kwa mapendekezo yao wenyewe. Hiyo ni dawa ya wanaopenda kucheat halafu sepa kama kawa, hawa huwa wanataka uroda tu they're not for commitment or longterm relationship.
dah hv wahindi wana flavour gani madameee?
 
mimi nna ndugu zangu wameoa wahindi kwa ndoa.....ni sehemu ya familia
nina cousins wahindi......

wahindi wanaabudu pesa tu
kama wewe baba yako angekuwa ndo mwenye makampuni hayo ya madini na ujenzi
hao wahindi wanakuletea posa na harusi inafungwa trust me....nimesoma na wahindi
primary mpaka high school nawajua....
tena boss nilikuwa nataka nikuunganishe nao niliona kuna thread unaulizia madini ya copper
ndo tulikuwa tunanunua na kupeleka china
najua massuplier wooote hapa mjini na wanakotoa
dodoma,kondoa iringa wapi wapi
 
thax babu kwa maoni yako ndoo maana nakupenda
wewe ni great thinker wa ukweli
lakini sijawai kuona wakiwa na mahusiano na watu weusi labda kwa siri
so sikutegemea kama muhindi anaweza kunitangazia nia

Mie nimewahi kuona wengi tu..Ila kuna mmoja pale Morogoro kwenye miaka ya 1990 alizaa na dada wa kibongo..ilibidi mtoto akafichwe kwa sababu mama wa kijana alikuwa anasuka mipango mtoto auawe...It is very serious!

Bahati mbaya sikuweza kujua iliishia wapi. Ila ukweli unabaki pale pale kwamba Wahindi wanaoishi Bongo hawataki kuchanganya damu na sisi!!...Why?? (changanya na zako!!!).

Babu DC!!
 
tena boss nilikuwa nataka nikuunganishe nao niliona kuna thread unaulizia madini ya copper
ndo tulikuwa tunanunua na kupeleka china
najua massuplier wooote hapa mjini na wanakotoa
dodoma,kondoa iringa wapi wapi

wewe ndo wale wanaokufa masikini huku 'utajiri wameukalia'
thread niliweka karibu mwaka sasa tena ni wazungu wa Norway ndio waliokuwa wanataka
badala ya kuni pm tufanye maambo unakuja leo kunikumbusha...nishawaambia watafute watu wengine
 
wewe ndo wale wanaokufa masikini huku 'utajiri wameukalia'
thread niliweka karibu mwaka sasa tena ni wazungu wa Norway ndio waliokuwa wanataka
badala ya kuni pm tufanye maambo unakuja leo kunikumbusha...nishawaambia watafute watu wengine
nilikuwa sijajoin jf nilikosa jinsi ya kukupata,nilikuwa sijui hata ma pm ni nini,ungeacha hata simu aisee
 
Wewe kazi zako unapata kwa wahindi tu? Kama hauna kazi kwa sasa njoo nikuajiri mimi. Achana na wahindi mdogo wangu.
 
Ninamfahamu mhindi aliyeoa mswahili ni maarufu sana anaitwa Kaka "Aliyekuwa mmiliki wa timu ya Tukuyu stars Banyambala".Yeye baada ya mkewe kufarki na kupeleka majivu kwao India ameoa beki tatu wake na wamezaa watoto watoto wazuri kwelikweli!Wahindi ni watu na wanamapenzi ya kweli kama watu wengine, haiwezekani wote wakawa na roho mbaya za kibaguzi!nakushauri ikitokea ume fall kwa mmojawapo "give it a trial" jaribu unaweza kuwa chanzo cha mabadiliko ya fikra za hao ndugu zetu!tunadhani wanatunyanyapaa pengine sie ndio tunawanyanyapaa kwa kuwafikiria vibaya!
 
thax babu kwa maoni yako ndoo maana nakupenda
wewe ni great thinker wa ukweli
lakini sijawai kuona wakiwa na mahusiano na watu weusi labda kwa siri
so sikutegemea kama muhindi anaweza kunitangazia nia
.
Kuna jamaa yangu alikua anafanya kazi kwa mhindi flan mwaka 1989 mara akapendwa na bint wa "baniani". Mapenzi yakashamiri sana na kilichotokea baadae ni ujauzito. Binti alipomsimulia mama yake, akaambiwa baba akijua atamnyonga. What they did, mama alimpeleka kwa bibi yake huko India fasta wakaenda kuichomoa ndio ikawa salama yake.
.
Wahindi sio watu, ni people.
 
mla vya wenzie na vyake uliwa mkuu,haijalishi how long will it take...
 
Muindi wa kwanza
Nilifanya kazi kwake miezi miwili tu.daah kweli mzee Yule alikuwa na visa
Nilikuwa receptionist,secretary,administration.accountant,kilakitu
Saa moja keshanifata nyumbani
Nilihisi dalili chafu cause kampuni ilikuwa kubwa kabisa (kampuni ya ujenzi) madereva ni wengi sijui kwa nini alikuwaananifata mwenyewe one day akatangaza nia nikamwambia nitampa jibu bazazi yule
One day kuna barabara tulijenga ilikuwa ni kuikabidhi nje ya mkoa.eti akaniambie twende wote
Nikamuambia sijajiandaa
Akanipa hela ya safari cause alinipa bila utaratibu na ilikuwa hela nyingi nikasepa zangu kwanza mateso ya paleyalishanichosha

Muindi wa pili
Nilikuwa nafanya kazikampuni ya madini huyu alikuwa ni mmoja wa wakurugenzi
Nilikuwa naishikwenye nyumba ya kampuni kwa iyo akaona ili mahusiano yetu yawe sirinihame pale maana ingekuwa soo kwa wahindi wenzake maana hata mashemejizake walikuwepo
Akanipa hela ya kupangisha nyumba kodi ya mwaka mzima nay a kununuakitanda na godoro na vitu vingine vidogodogo kiukweli alinipa hela ya nguvu by the time huu mchakato unaendelea miminilikuwa natafuta kazi sehemu zingine si mnajua wahindi walivo?
Basi baada ya kunipa hiyo hela akawa amesafiri kufata malipo yake huko china
Kipindi yupo huko nikawa nimepata kazi sehemu ingine
Nikaondoka zangu nikabadili na simu
Hata hajawaikunifatilia mpuuzi Yule


Muindi wa tatu
Huyu tulikutana bankile ya wahindi hope mnaijua
Huyu tukawa marafiki sana wa kawaida email simu kwasana.anadai ameozeshwa mke hampendi sijui nini na nini? Kiukweli mimi na mume wa mtu huwa siwezi
Nae nikala dola zake nikasepa
Sasa kuna mwingine tena naona anakoelekea sipo sitaki dhambi tenajamani nifanyeje?
au destiny yangu ni kwa wahindi jamani?
nb sijali wale mnaoattack thread za watu personaly hii ni jf where we dare to talk openly








Smile wapenda sana kula vya watu weye! Shauri yako!
Ningekuona u shujaa kama ungewakabili na kuwachana live na si kula vya kwao halafu unasepa.
 
Wahindi wengi wanaume hawana raha kwa kuwa wake wao wanawatawala(bossy) halafu ni wakatili.Labda ni kwa kuwa wahindi wanawake huwa wanatoa mahari.Hii inachangia kuwafanya watafute mapozea ya waswahili.Lakn mila na desturi zao haziruhusu kuoa wasio wahindi.
 
Back
Top Bottom