Kumbe Urusi haipo kwenye G 7

Kumbe Urusi haipo kwenye G 7

Urusi aliingizwa ki'heshima' tu kwa kuwa ana 'nyuklia' vinginevyo wamemsusa 😂 😂 😂
G7 wakiamua leo kwamba tz ni mwenzao kunakuwa hakuna pingamizi na on the spot inakuwa G8 utakumbuka kuna kipindi hayati rais Mkapa aliteuliwa kuwa mwenyekiti wa Globalization na karibu wake alikuwa rais wa Finland wakati huo sasa jifikirie huyo mzee kwenye hicho kikao alikuwa anaongea nini hasa ukizingatia angalau Finland wanatengeneza Nokia, malori ya SISU Valmet etc sasa sisi tz ukiondoa kula tunda kimasihara tuna nini?
 
G7 wakiamua leo kwamba tz ni mwenzao kunakuwa hakuna pingamizi na on the spot inakuwa G8 utakumbuka kuna kipindi hayati rais Mkapa aliteuliwa kuwa mwenyekiti wa Globalization na karibu wake alikuwa rais wa Finland wakati huo sasa jifikirie huyo mzee kwenye hicho kikao alikuwa anaongea nini hasa ukizingatia angalau Finland wanatengeneza Nokia, malori ya SISU Valmet etc sasa sisi tz ukiondoa kula tunda kimasihara tuna nini?
G7 haiamuliwi kitandani...
Kuna kukubalika na vigezo...
 
Watu wengine bana sijui huwa ni ukilaza au utoto!!! kabla ya hicho kikundi cha mashoga cha G7 kulikua na G8 russia akiwa member wa G8. Walimuondoa kutokana na mgogoro wa kuichukua crimea kimabavu.. alfu jiulize china ana uchumi mkubwa kuliko hivo vinchi vya magharibi lkn kwann hayupo G7? Jibu ni mambo ya kisiasa na ushoga ushoga wao
 
Russia uchumi wake haifikii hata uchumi wa Jimbo Moja la Texas huko marekani alafu unategemea uione Kwenye kundi la g7?

Utasubiri sana

Sent from my Infinix X660B using JamiiForums mobile app

Someni historia kwanza sio mnakimbilia kubeza beza Russia bila ya kuwa na ushahidi waku-support your wild allegations - saa hizi mnajifanya kusahau kwamba mwanzo group hiyo ilikuwa inajulikana kama G8 ambalo lilikuwa linajumuhisha na Urusi yenyewe, sikuwahi kusikia hata siku moja madai ya kusema Urusi haiwezi kuwa mwana chama wa G8 kwa kuwa uchumi wake haufikii hata wa jimbo ls Calfornia - hayo ni madai yenu ya uongo na uzushi mnazo kalilishwa na media za magharibi vile vile mnakuwa driven na rabid hatred ya Taifa la Urusi.

Kwa taarifa yako Urusi ilisitishwa uanachama/member wa G8 si kwa sababu ya uchumi wake kuwa mdogo bali kutokana na ku-annex jimbo la Crimea, ni hicho tu na wala hakuna sababu nyingine - kuweni wakweli watu watawaelewa lakini sio mnatuletea adithi za kutunga tu. Miaka miwili/mitatu iliyo pita Trump aliwahi kupendekeza kwa mara nyingine tena kwamba Urusi ikubaliwe tena kujiunga na G7 ili iwe G8 kama zamani.
 
Russia uchumi wake haifikii hata uchumi wa Jimbo Moja la Texas huko marekani alafu unategemea uione Kwenye kundi la g7?

Utasubiri sana

Sent from my Infinix X660B using JamiiForums mobile app

Someni historia kwanza sio mnakimbilia kubeza beza Russia bila ya kuwa na ushahidi waku-support your wild allegations - saa hizi mnajifanya kusahau kwamba mwanzo group hiyo ilikuwa inajulikana kama G8 ambalo lilikuwa linajumuhisha na Urusi yenyewe, sikuwahi kusikia hata siku moja madai ya kusema Urusi haiwezi kuwa mwana chama wa G8 kwa kuwa uchumi wake haufikii hata wa jimbo ls Calfornia - hayo ni madai yenu ya uongo na uzushi mnazo kalilishwa na media za magharibi vile vile mnakuwa driven na rabid hatred ya Taifa la Urusi.

Kwa taarifa yako Urusi ilisitishwa uanachama/member wa G8 si kwa sababu ya uchumi wake kuwa mdogo bali kutokana na ku-annex jimbo la Crimea, ni hicho tu na wala hakuna sababu nyingine - kuweni wakweli watu watawaelewa lakini sio mnatuletea adithi za kutunga tu. Miaka miwili/mitatu iliyo pita Trump aliwahi kupendekeza kwa mara nyingine tena kwamba Urusi ikubaliwe tena kujiunga na G7 ili iwe G8 kama zamani.
 
Back
Top Bottom